MUUZA NGADA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 340
- 497
Ni Kikwete Na Siyo WatanzaniaEndelea kufukunyua utuletee mrejesho wa wapi alipo kwenye mji huu wa Nairobi, ila ingekua kweli unachokisema Kagame angekua ashamtolea, Kagame hupiga hadi kule kwa Wazulu sembuse hapa EAC, kumbuka aliwahi kumbabaisha hata Kikwete mpaka Tanzania yote mkalia sana.
Siko hapa kutetea mada,nimeleta habari kama habari zingine,hakuna anayenilipa ili kukufanya wewe uamini nilichoandika,kama huamini basi ,soma mada na upite kimya na siyo kuanza kelele na ligi kama vile umelala ofisi ya CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati nzuri sijawahi kuwa mwajiriwaTulia wewe kama hela yako ya michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii imeliwa na CCM mpelekee hizo stress zako polepole pale Lumumba.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ishu ya Kabuga ni ya miaka mingi sana. Kwamba amefichwa Kenya siri sana. Muulize Zackayo Cheruyoti wakati huo akiwa kwenye siasa miaka ya Tisini kwenye Wizara ya usalama alishutumiwa sana kushiriki kumficha Kabuga.Endelea kufukunyua utuletee mrejesho wa wapi alipo kwenye mji huu wa Nairobi, ila ingekua kweli unachokisema Kagame angekua ashamtolea, Kagame hupiga hadi kule kwa Wazulu sembuse hapa EAC, kumbuka aliwahi kumbabaisha hata Kikwete mpaka Tanzania yote mkalia sana.
Do you either?How can his whereabouts become exposed?
Do you think that the Kenyan government would have pled harbouring him?
Alfred Mutua as the government spokesman should not have carried out the secret of the government he served .
It is an outdated information yes,Do you know his whereabouts?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kanaswa baada ya miaka 26, hiyo ni miaki mingi sana bana. Alafu bahati yake mbaya amenaswa akiwa amekula chumvi na juu yake ana matatizo tele ya kiafya. Nilisikia jirani zake wakihojiwa kwa France24 na walisema kwamba alikuwa jamaa mpole sana, ila hakuwa anaweza hata kufungua mlango wake bila usaidizi. Siku za mwizi ni arobaini, you can ran but you can't hide. Dedication kwake Felicien Kabuga, najua baada ya kuishi Kabete, Kiambu kwa muda mrefu lazima atakuwa anaelewa kisapere. [emoji1] Kiiga- Gacathi Wa Thuo. Muiruuuriiiii! [emoji1]Rwanda genocide fugitive Félicien Kabuga arrested in Paris - Citizentv.co.ke
I thought huyu jamaa mlisema ako kenya?
Sent using Jamii Forums mobile app