eti Morocco ni first world π π π π π π., yaani kwa vile wako na bullet train ama unaangalia nini?., do u know Morocco really?., hawawezi fikia ata standards za Seychelles ama Mauritius, na wao bado ni middle.., Morocco bado sana.,Morocco ni nchi ya ulimwengu wa kwanza,
GDP isikufanye mpumbavu,
It may take 50good years kufika ilipo Morocco leo.
Wivu., mtu asie jua economics., so nchi zenye over 100% debt to GDP ratio nyie mnawashinda eti.., akili za kimaskini hizi., ndio maana Tz is perennially poor., tatizo ni fikra za raiya na sio nchi.,Wakenya manajua kutiana ujinga, uzuri wa Watanzania hatuna unafiki wala pretending ila ninyi mna fake sana maisha, nani asiejua GDP yenu almost yote ni madeni na hamuwezi hata kulipa mishahara bila mikopo? π π π
Ukiondoa madeni na remittance hakuna Kenya ππ
huu uzi kumbe ilitesa mibongolala., sasa ni wivu inaongea no reasonπ πKuna watu wameumia sana kwenye uzi huu
Huyu nae elimu hana?
Lazima watafute vijisababu wakifinywa π πGDP = economic output.
Tanzania economic output ya vitunguu na korosho itashindana na Kenya ya viwanda?
your country is rich in minerals but y'all are poor because all y'all stupidUache ujinga wa kufananisha Kunyaland na Morocco
Achana na huyo. His delusions are beyond the point of correction.eti Morocco ni first world π π π π π π., yaani kwa vile wako na bullet train ama unaangalia nini?., do u know Morocco really?., hawawezi fikia ata standards za Seychelles ama Mauritius, na wao bado ni middle.., Morocco bado sana.,
Kuna njaa nchini, bora kununua mahindi my frndNimesikia mama mmoja anasema tukauze mahindi kenya
Hadi airport amewaumbua π π π πduh.....