Kenya is the leading middle income country in Africa

Kenya is the leading middle income country in Africa

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
IMG_20191019_234720.jpg
 
Sasa hii ni kitu ya kufungulia thread?! Watu wengine wamekosa kazi za kufanya
 
Shida ni hao Kenya Power naniliu walichouliza....

Wanaona tatizo halafu wanataka maelezo
Kusoma hawajui hata picha hawaoni
 
Clarify the problem for assistance 😁😁😁😁
Means to them that shown is not the problem...
 
Sasa hii ni kitu ya kufungulia thread?! Watu wengine wamekosa kazi za kufanya
Kilaza wa kikikuyu uwezi elewa sababu ya hii kitu kufunguliwa thread ,, heee wewe endelea kula chapo hapo kibera uonekane tajiri
 
Kiingereza ni kigumu kweli, clarify inamaanisha nini? Technicians wa Kenya Power watakuwa dispatched kwenye ground kivipi kama info yote haipo? Nguzo zimeangukaje, mvua, gari ndio limegonga nguzo, zimeanguka zenyewe, kuna majeraha, ni upande upi wa Karuri Hospital? N.k. n.k.... Hiyo ni Customer Care 101! Vipi kuhusu customer care ya Tanesco? Au shughuli zao huwa zinaisha mkishakata utepe kwenye uzinduzi wa nguzo na Transformer?
1746893_FB_IMG_1524920344831.jpg
 
Kilaza wa kikikuyu uwezi elewa sababu ya hii kitu kufunguliwa thread ,, heee wewe endelea kula chapo hapo kibera uonekane tajiri
Sawa danganyikan, tayarisha mchuzi wa albino unywe ukiwaza vile Tanzania itapita Kenya
 
Hapo ndiyo usipo tambua wakenya ni manyani lazima na wewe utakuwa nyani mwenzao ingekuwa magufuli hapo MTU kazi hana tayari Kwa majibu hayo ya Kenya power
Pupa za Nini mapema ivi?
Ama umeamkia mchuzi wa nyama ya albino kwa mihogo ya msitu?
 
Kiingereza ni kigumu kweli, clarify inamaanisha nini? Technicians wa Kenya Power watakuwa dispatched kwenye ground kivipi kama info yote haipo? Nguzo zimeangukaje, mvua, gari ndio limegonga nguzo, zimeanguka zenyewe, kuna majeraha, ni upande upi wa Karuri Hospital? N.k. n.k.... Hiyo ni Customer Care 101! Vipi kuhusu customer care ya Tanesco? Au shughuli zao huwa zinaisha mkishakata utepe kwenye uzinduzi wa nguzo na Transformer?
1746893_FB_IMG_1524920344831.jpg
Bongolala hawawezi elewa kitu..achana nao
 
Clarify the problem for assistance 😁😁😁😁
Means to them that shown is not the problem...
Mzee mla albino..Leo umerauka mapema sana..karaukia nyama ya albino kwa mihogo ya sumu?
 
Mido inikamu kantrii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Failed state kenya,
Ni kunoma mazee,
Na hapo utakuta kulifanyika ufisadi wa hatari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Inasikitisha sana...

Kashaambiwa tatizo lilipo na picha anaona, alafu anasema clarify the problem for assistance...


Cc: mahondaw
 
Mzee,waonekana kuwapenda vijana wadogo wenye jinsia ya kiume... I'm sure huwa unawahadaa watoto wadogo kingono..wapaswa kuchunguzwa Babu
Sinister njoo sababu na wewe haya ni mambo yako

Wakenya haka kamchezo ka kutatuana mnakapenda sana
 
Back
Top Bottom