Kumbe source ni
Kenyan Wall Street!!!?
OK Ahsante.
Ujamaa Umefanya wananchi wetu wana umoja, wanamiliki ardhi, hakuna njaa kama huko, hatupewi misaada ya chakula karne hii,Mbwa takataka ya ujamaa policy. Endelea kutroll
Tofauti yangu na yako wewe Unatumia makwapa kufikiria πππPia umefanya watu wakawa na tamaa ya kuwala albino?
Ujamaa Umefanya wananchi wetu wana umoja, wanamiliki ardhi, hakuna njaa kama huko, hatupewi misaada ya chakula karne hii,
Hatuna ukabila [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina muda wa argument za kitotoUnamiliki ardhi au umekodi?[emoji1787][emoji1787]
Sina muda wa argument za kitoto