Sio Mimi na wewe tunapigana bali ni viongozi wetu...wanapigania posho.Haha!π€£π€£ Kenya is currently a land of confused people. You do not believe in what is going on after Tanzanians demonstrates their power. Mtabaki kujifariji tu lakini ukweli mnaujua.
hatuna Corona,but its human nature we all gonna die somedayKenya isikubali Watanzania waje huku kutuongezea corona. Hawa Watanzania wanadanganya eti hawana corona lakini ni dhahiri shahiri kuwa wao wana corona na wanakufa kwa wingi tu. Kenya isiogope hasira za mkizi kutoka kwa Watanzania. Afya ya Wakenya ipewe kipaumbele.
sisi waTz ni wapole sana, waje tu. sisi ndio tuliotakiwa kulalamika kwasabab ya kutuzuia kwenda kwao, ila wao ndo wanalamika very funny. waendelee tu kukaza na kufunga kabisa mipaka yao
Utagundua kuwa fahari wawili wanapopigana sisi nyasi ndio huumia.Na badoooo, mtaruka ruka sana kama maharage yanapokaribia kuiva... Dadeeki!
Msipate shida, mikopo ya Corona mshapata jipangeni jinsi ya kulipa deni, hofu ya Corona imewatawala na itawamaliza! Mgeukieni Mungu, anzeni na tohara mumrudie Bwana wa Majeshi mtapona!
Huu muda mnaotumia kuwasimanga Watz mtaujutia.
Tanzania rahaaaaaaa jirani toka dirishani kaa mezani upange yako!
Haha!ππ sikutaka kucheka leo. Eti wanapigania nini? Posho za Beberu?Sio Mimi na wewe tunapigana bali ni viongozi wetu...wanapigania posho.
Tafuta mtu mwingine wa kudanganya. Mimi sidanganyiki virahisi. Nchi ya kishenzi sana hii. Eti mnasema hamna corona kwa miezi minne sasa. Upuuzi mtupu.It simple kama mnataka kujua tz wanadanganya au hawadanganyi. Fanyenj hivi, fungueni shule zote kuanzia nursery upili na vyuo kama tz walivofanya then ruhusuni michezo yote iendelee n.k muone baada ya siku 14 kama kutakua na taifa linaloitwa kenya. Tz wana miez 4 sasa toka waruhusu vyote hivyo na hujawah kusikia maiti zinazagaa barabarani kama mlivokuwa mnatumiwa na mabwana wenu wazungu kuitangazia dunia.
Juzi ligi kuu ya tz imemalizika tunawarudisha wakenya wenzenu kwenu waliokuwepo wanachezea kwetu. Mnajua golikeeper wa harembee stars yenu alikuwepo huku pia yupo star kahata na wengine. Watafuteni watawaambia tz ilovyo ila tumsiwaambukize makorona yenu bado tunawahitaji. Kenya mlipokosea ni kudharau kuwa kuna Mungu. Sayansi bila Mungu ni ziro. Sisi tumewazid hapo na hata kama hamtaki huo ndio ukweli.
Hela ambazo Mimi na wewe tunahitaji kujikimu maisha ndizo wanapigania kwa manufaa Yao wenyewe. Jiulize mbona wanahitaji bodyguards Kama wao ni watu wazuri? Ina maana sisi wananchi was kawaida ni wakora?Haha!ππ sikutaka kucheka leo. Eti wanapigania nini? Posho za Beberu?
Sisi hatuwataki huku. Bakini huko na corona yenu mnayoificha. Afya ya Wakenya ni muhimu kushinda urafiki wetu feki. Tanzania na Kenya huwa tunajifanya marafiki ila hatupendani. Wacha kila mtu akae kwao.Sisi ndio tuliowapiga kufuli, machsria aliwaambia safari zitaanza immediately, sasa akawaoneshe hiyo immediately alipoiweka
Wenye Corona wanaishi hivi? Hahaha
Njaa ni nyinyi mnaokula kinyesiWakenya wanatuhitaji sisi watanzania katika kuendesha maisha yao kuliko sisi Watanzania tunavyowahitaji ninyi taifa lililotopea kiukabila///mtakufa njaa msituzingue