Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Nyimbo nzuri saana [emoji3][emoji3][emoji3]Why are you crying my friend...….?.....ndio hatuna corona.....hutaki……?......watoto wetu wapo shule…..muda sasa……...wa kwenyu wapo shule…..?.....why...….?....
mfano mdogo tu kwanza...….
We ni muelewa bt wenzako wanafuata mkumbo tu.Utagundua kuwa fahari wawili wanapopigana sisi nyasi ndio huumia.
Nani anaewataka sasa?Sisi hatuwataki huku. Bakini huko na corona yenu mnayoificha. Afya ya Wakenya ni muhimu kushinda urafiki wetu feki. Tanzania na Kenya huwa tunajifanya marafiki ila hatupendani. Wacha kila mtu akae kwao.
Israel itself is taking precautions and we all Clearly know it's history Sasa Tanzania ni ujinga na upumbavu tupu ndio mumejazaa muwache kujifanya kama mko special watu wanakufa na mnaficha
Wewe bana acha mihemko.You are doing what exactly you think it is best for yourselves!
And Tanzanians retaliation of which they think is perfect for them ni haki yao too....
Who cares who wins on anything?
Viongozi wetu wa Tanzania unfortunately hawajaweza wajibu Wakenya kwa evidences kwamba Tanzanians hawana korona,hawajaweza fanya hiyo kazi!
And thats totally a stupid part of these leaders of mine...
I'm so focused on what tragedies will follow up when other nations follow suit in banning us because of incompetencies of these lunatics here!
Thats the ultimate price!
Kenya has a legitimate hoja here,so far these monkeys havent addressed yet!
Watanzania huwa mna hasira nyingi sijui kwa nini. Ndio maana mlikuwa ranked the second most unhappy country in the world. Kuishi katika nchi inayoongozwa na dikteta ni kazi ngumu sana aisee.
[emoji38][emoji38][emoji38]ukweli hatutaki kuwaambukiza corona. Sijui mnatutakia nini[emoji23][emoji23][emoji23].Corona ndio imesababisha hasira yote hii baada ya kuona wanatengwa na dunia, sasa Kenya tu ndio ilikua inawabeba ila nayo imewatema.
Wewe bana acha mihemko.
Ni jukumu la tz kuithibitishia kenya kwamba yenyewe haina corona!!!!!
Tz sana 😂😂Naona mushaanza kuisoma namba na bado . Nitafutie mtu mmoja tu mwenye barakoa hiyo ilikua juzi . Na huko kwenu mukifanya kama hivi bc utackia wameuawa raia zaidi ya 5 na polisi .
Waswahili wafukuzwe tu nchini...wamejaaa deportivo la koronaaaa!😂
Aliyetengwa na dunia ni nani? Fungua macho dogo uone watalii wanavozid kumiminika bongo. Tatzo unadhani wote wana akili za kilevi kama ww. Hakuna nchi inayoweza kuitenga tz..ninyi wenyewe ni maadui zetu mmeshindwa mnalia lia huku. Usionyeshe upuuz wako kwa watu otherrwise labda unaotaCorona ndio imesababisha hasira yote hii baada ya kuona wanatengwa na dunia, sasa Kenya tu ndio ilikua inawabeba ila nayo imewatema.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji108]Nani anaewataka sasa?
Sisi tuliwafukuza viongozi wenu wakiwa angani hata kabla ya kuvuka Arusha, immediately tukawavutia waya huko huko mawinguni warudi walikotoka
Hamkukoma mkataka kuleta mikorona yenu kwa KQ, tukawapiga pini hata kabla hamjawasha maskrepa yenu, sasa asiemtaka mwenzie nani kati yetu na ninyi?
Kaeni kwenu hatuwataki jamani
Kaeni na macorona yenu huko.
Vp Hivi KQ WAMEKUBALIWA VILE ILE SAMAN YAO AU NDIO TANZANIA NI JIRANI JEURI KAKATAA SAMAHANI?,Kenya isikubali Watanzania waje huku kutuongezea corona. Hawa Watanzania wanadanganya eti hawana corona lakini ni dhahiri shahiri kuwa wao wana corona na wanakufa kwa wingi tu. Kenya isiogope hasira za mkizi kutoka kwa Watanzania. Afya ya Wakenya ipewe kipaumbele.