Kenya: Jaji Mkuu akiri Mahakama kuingiliwa na mafisadi, ataka Tume ya Maadili ichunguze mifumo yote ya Mhimili huo

Kenya: Jaji Mkuu akiri Mahakama kuingiliwa na mafisadi, ataka Tume ya Maadili ichunguze mifumo yote ya Mhimili huo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Jaji mkuu amesema mahakama nchini Kenya imeingiliwa na mafisadi hivyo ameitaka Tume ya maadili kuichunguza kwa makini mifumo yote ya mahakama.

Chanzo: ITV habari
 
Jaji mkuu amesema mahakama nchini Kenya imeingiliwa na mafisadi hivyo ameitaka Tume ya maadili kuichunguza kwa makini mifumo yote ya mahakama.

Source ITV habari
Nimekuja mbio nikijua Tz...dah
 
afadhali wao wanajielewa kuliko huku kwetu kesi zinaamuliwa kwa kuangalia mtu na matakwa ya rais
 
Back
Top Bottom