Kenya: Kama una korona karantini lazima, utakaa kwa gharama zako, sh 40000 kwa siku

Kenya: Kama una korona karantini lazima, utakaa kwa gharama zako, sh 40000 kwa siku

pombe kali

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
282
Reaction score
561
Gavana wa kaunti ya Mombasa Joho al-maarufu kama 001 ametangaza amri ya kupima korona nyumba kwa nyumba na wote wanaopatikana na maambukizi wanapelekwa karantini ambapo watajihudumia wenyewe malipo ya ksh2000 ambayo ni sawa na shilingi za kitanzania 42000 kwa siku.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti akiwemo mbunge wa Nyali Mohamed Ali aliyewahi kuwa mwandishi wa habari za kiuchunguzi wamepinga vikali hatua hiyo wakisema kuwa huo ni uonevu na wizi, huku wengine wakinukuu maneno ya raisi wa jamuhri ya muungano wa Tanzania Mh Magufuli kwamba vipimo wanavyotumia Havina uhalisia.

Hivyo hata wasio kuwa wana maambukizi wataambiwa kuwa na maambukizi ili wakalipie fedha hizo kule karantini, wananchi majumbani wanasemekana kujihami na silaha za jadi ili kukabiliana na yoyote atakayekuja majumbani kwa kigezo cha kutaka kuwapima...hi vita kila nchi inacheza kivyake.
 
Mkuu MK254 ya kweli haya?

Sijui hilo la kulazimisha watu kupima, nasklizia pia, ila vipi naona Tanzania siku zote hizo mumepima watu wachache sana 652 na kupata wenye maambukizi 480, hivi mpo kwenye hii safari kweli? Ndio maana mumeamua kufanya tiki-taka za mapaipai na mananasi.

2388980_IMG_20200504_163228.png
 
Sijui hilo la kulazimisha watu kupima, nasklizia pia, ila vipi naona Tanzania siku zote hizo mumepima watu wachache sana 652 na kupata wenye maambukizi 480, hivi mpo kwenye hii safari kweli??? Ndio maana mumeamua kufanya tiki-taka za mapaipai na mananasi.....
2388980_IMG_20200504_163228.png

Zeera.jpg
 
Sijui hilo la kulazimisha watu kupima, nasklizia pia, ila vipi naona Tanzania siku zote hizo mumepima watu wachache sana 652 na kupata wenye maambukizi 480, hivi mpo kwenye hii safari kweli? Ndio maana mumeamua kufanya tiki-taka za mapaipai na mananasi.

2388980_IMG_20200504_163228.png
Kupima watu wengi sio sifa au ndio kudhibiti Corona USA wamepima mamilioni ya watu na wanavifo karibu elfu sabini​
 
Sijui hilo la kulazimisha watu kupima, nasklizia pia, ila vipi naona Tanzania siku zote hizo mumepima watu wachache sana 652 na kupata wenye maambukizi 480, hivi mpo kwenye hii safari kweli? Ndio maana mumeamua kufanya tiki-taka za mapaipai na mananasi.

2388980_IMG_20200504_163228.png
Mkuu wacha nihuzunike tu.​
 
Back
Top Bottom