KENYA: Kijana aliye na jinsia mbili aliyesoma katika shule ya wasichana

KENYA: Kijana aliye na jinsia mbili aliyesoma katika shule ya wasichana

menya inganyi

Senior Member
Joined
Aug 10, 2016
Posts
169
Reaction score
109
Mvulana mmoja kutoka Naivasha anayejulikana kama Mary Waithera, na ambaye amekua akiishi kama msichana sasa anataka kubalisha majina yake na kujiita James Karanja.

Kijana aliye na jinsia mbili aliyesoma katika shule ya wasichana

Waithera alizaliwa na jinsia mbili miaka ishirini iliyopita na sasa amekugundua kwamba ana wingi wa jinsia za kiume kuliko za kike.

Cira,kama vile anavyoitwa na wenzake aliishi na nyanyake tangu utotoni na anasema kwamba nyanya ndiye alimzoesha kwa kumvalisha mavazi ya wasichana.

Baada ya kufanya mtihani wake wa darasa la nane, Waithera alijiunga na shule ya upili ya wasichana ya Kambala katika eneo la Molo, nakueleza kuwa wanafunzi wenzake walimkejeli kwa kumpa jina la utani la ‘Mary boy.’

Wakiongea kwenye Runinga ya Inooro ,waalimu wake walisema hawakujua chochote cha ajabu kwa waithera isipokuwa maumbile yake.

Tayari kimekuwa kibarua kigumu kwake kupata kitambulisho kilicho na majina anayoyataka.

Chanzo: muungwana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
0fgjhs3n6u1glgu16g.06a50b64.webp

-Kijana mmoja amekuwa akiishi kama ‘mwanamke’ kwa miaka.

-Kijana huyo alisoma katika shule za wasichana na hata kupewa jina la kike.

Mvulana mmoja kutoka Naivasha anayejulikana kama Mary Waithera, na ambaye amekua akiishi kama msichana sasa anataka kubalisha majina yake na kujiita James Karanja.

Kijana aliye na jinsia mbili aliyesoma katika shule ya wasichana

Waithera alizaliwa na jinsia mbili miaka ishirini iliyopita na sasa amekugundua kwamba ana wingi wa jinsia za kiume kuliko za kike.

Cira,kama vile anavyoitwa na wenzake aliishi na nyanyake tangu utotoni na anasema kwamba nyanya ndiye alimzoesha kwa kumvalisha mavazi ya wasichana.

Baada ya kufanya mtihani wake wa darasa la nane, Waithera alijiunga na shule ya upili ya wasichana ya Kambala katika eneo la Molo, nakueleza kuwa wanafunzi wenzake walimkejeli kwa kumpa jina la utani la ‘Mary boy.’
Wakiongea kwenye Runinga ya Inooro ,waalimu wake walisema hawakujua chochote cha ajabu kwa waithera isipokuwa maumbile yake.

Tayari kimekuwa kibarua kigumu kwake kupata kitambulisho kilicho na majina anayoyataka.
 
Bila shaka aliwatumbua ipasavyo huko girls school
 
Kwani shida ipo wapi hapo. Si aende kwa daktari athibitishe kuwa ana jinsia mbili sas anaikana hiyo ya ke aanze kuitumia vyema hiyo ya me tu.
Aoe mwanamke anayejua kuwa jamaa amebahatika kupewa kanyongeza hivyo akifika home asimchungulie huko bali apokee zana za kazi tu.
Shida iko wapi?? Au anajitafutia kik
 
0fgjhs3n6u1glgu16g.06a50b64.webp

-Kijana mmoja amekuwa akiishi kama ‘mwanamke’ kwa miaka.

-Kijana huyo alisoma katika shule za wasichana na hata kupewa jina la kike.

Mvulana mmoja kutoka Naivasha anayejulikana kama Mary Waithera, na ambaye amekua akiishi kama msichana sasa anataka kubalisha majina yake na kujiita James Karanja.

Kijana aliye na jinsia mbili aliyesoma katika shule ya wasichana

Waithera alizaliwa na jinsia mbili miaka ishirini iliyopita na sasa amekugundua kwamba ana wingi wa jinsia za kiume kuliko za kike.

Cira,kama vile anavyoitwa na wenzake aliishi na nyanyake tangu utotoni na anasema kwamba nyanya ndiye alimzoesha kwa kumvalisha mavazi ya wasichana.

Baada ya kufanya mtihani wake wa darasa la nane, Waithera alijiunga na shule ya upili ya wasichana ya Kambala katika eneo la Molo, nakueleza kuwa wanafunzi wenzake walimkejeli kwa kumpa jina la utani la ‘Mary boy.’
Wakiongea kwenye Runinga ya Inooro ,waalimu wake walisema hawakujua chochote cha ajabu kwa waithera isipokuwa maumbile yake.

Tayari kimekuwa kibarua kigumu kwake kupata kitambulisho kilicho na majina anayoyataka.

Hakuna ubaya...alizaliwa hivyo.
Hermaphrodite Human Pictures

The first hermaphrodite human pictures were created in 1860, when French photographer Gaspard-Felix Tournachon, otherwise known as Nadar, took nine photographs of a young person with a male build and stature, but who might have identified as female. These are considered the first hermaphrodite human pictures in the world, and were reserved only for medical uses. These photographs were never published in mainstream media.

What Is a Hermaphrodite?
A person who is a hermaphrodite has both female and male genital characteristics and can also be called intersex people. This typically means that the organs on the inside are of one sex, while the organs on the outside are of another sex; for example, a hermaphrodite might have a penis and testicles, but inside, there are ovaries and possibly a uterus. In more rare cases, the chromosomes say a person is male or female, but the genitals say otherwise.

Only occasionally do hermaphrodites actually exhibit the genitalia of both a male and a female; for example, a person might have a penis as well as a vagina. In many of these cases, the doctors aren’t sure which genitalia the person has at birth: For instance, a female might appear to have a very large clitoris, or a male might appear to have a very small penis. This ambiguous genitalia is often cause for further testing on DNA to determine whether the child is a boy or a girl.

It is currently estimated that about one in every 2,000 babies born have “confusing” or ambiguous genitalia. In cases like this, the parents might make the decision to put their child through surgery to determine a physical gender, or they might opt to wait until the child is older and can decide for themselves which gender is dominant in their body and mind.


  1. Maddie Blaustein: a voice actor in several video games, including Sonic the Hedgehog and Pokemon, and the founder of the popular “Second Life.”
  2. Lisa Lee Dark: A Welsh actress and voice performer, she was raised as a boy because doctors didn’t realize she was biologically female. Sent to an all-boys school, she was badly bullied because she didn’t act the way a boy was expected to act.
  3. Gottlieb Gottlich: A man who was one of the very first medical subjects to be studied for genital confusion. He was raised as a female but in his 30s began having severe abdominal pains; the investigation led to determining that he was actually male.
  4. Sarah Gronert: This retired tennis player won a total of ten titles. She was born with both male and female genitalia; upon surgery at the age of 19, she is now considered physically and biologically to be a woman.
  5. Iain Morland: A music technologist and author from England, he is a leading academic in the field of sex research. He was subject to numerous surgeries throughout his childhood in order to determine his gender.
  6. Dee Palmer. The former keyboardist for band Jethro Tull, Palmer was once known as David Palmer. Assigned as a female at birth, she went through numerous surgeries. After her wife died in 1995, she began to focus more on her intersex questions.
  7. Veronique Renard: A visual artist and author, she was diagnosed with Klinefelter’s syndrome in her teens, and chose to transition to a female. She became the youngest woman in the world to go through complete gender reassignment surgery.
  8. Caster Semenya: A world champion and South African distance runner, she was subjected to gender testing in 2009 after winning the World Championship. This was one of the first widely-known cases of gender testing in the athletic world and led to an uproar among medical professionals and athletes alike.
  9. Erik Schinegger: A skier who won many awards, he was originally known as female, but a medical test before the 1968 Olympics revealed that he was actually male. He chose to transition to life as a man, and eventually married and became a father.
  10. Caroline Cossey: Once a “Bond girl” in the James Bond films, she was raised as a male but had a female appearance. At the age of 17, she chose to transition to life as a woman. She had gender reassignment surgery and was eventually “outed” by tabloids as being raised as male.
 
Kwani shida ipo wapi hapo. Si aende kwa daktari athibitishe kuwa ana jinsia mbili sas anaikana hiyo ya ke aanze kuitumia vyema hiyo ya me tu.
Aoe mwanamke anayejua kuwa jamaa amebahatika kupewa kanyongeza hivyo akifika home asimchungulie huko bali apokee zana za kazi tu.
Shida iko wapi?? Au anajitafutia kik
huyu alikua anawafaidi sana vibinti uko shule unaambiwa aliwabonya mbaya kabisa
 
Aisee jamaa atakuwa kawachakaza kinoma akina mwajuma has a wakati wa kuoga
 
Back
Top Bottom