KENYA: Kijana auawa baada ya kukutwa akifanya mapenzi na Ng'ombe

[HASHTAG]#maajabuyaKENYA[/HASHTAG]
 
Tony254 MK254 Niksta254 Kafrican waltham kelele nyingi nyuma ya keyboard wakati hata kumwambia binti I Love You mnaogopa,nyang'au kabisa

Mbona wengi mnanitag utadhani ni mjomba wangu kafanya, ila waliomuua naona kama wapumbavu, japo angetafuta changudoa alishikishe ukuta kwa hela ndogo tu, sasa udhalilishaji wote huo. Au labda jamaa anao mzuka na dushe la kufa mtu hadi machangu wamemgomea, akaamua kulitumbukiza kwa ng'ombe.

Binafsi sioni kipi cha kusababisha auawe, wangempa huyo ng'ombe aishi naye kama mkewe, kila siku anatumbukiza bila stress nyingi za kutongoza. Maana hawa mademu huwa hawaeleweki, ndio wanasababisha haya mambo, maana unakuta inakubidi kutumia nguvu nyingi kutongoza, umpeleke out, ununue kila kitu, ukodi chumba halafu ulazimike kutumia maneno matamu maana ukiteleza ulimi anakuacha mataani, halafu hata tendo lenyewe mnapata raha nyote......hehehe Sasa sijui kwanini huwa wanakua wagumu, badala wajiachie tuwe tunaila kama chakula cha kila siku, mpigiane simu aje tu moja kwa moja bila stori nyingi na kujialaza kitandani...hehehehe
 
Vipi wale waliobeba pesa za NYS katika mifuko, mbona hamuwaui?, stupid Nyang'au, life in Kenya is very valuless.
Ni wapi kwenye comment yangu ambapo nimesema kwamba ilikuwa haki kumuua huyo mbakaji? Hujui kusoma, au upo 'idle' tu?
 
Ni wapi kwenye comment yangu ambapo nimesema kwamba ilikuwa haki kumuua huyo mbakaji? Hujui kusoma, au upo 'idle' tu?
Wewe ndiye mwenye akili mbovu, unashindwa kuelewa vitu vidogo sana, kwani mimi comment yangu inahusiana na comment yako au ya mtu yeyote?. Lengo langu ni kutaka kukuonyesha kwamba watu wanaofanya makosa yenye madhara makubwa kwa Taifa mnawaacha badala yake mnashughulika na watu masikini na wanyes stress za maisha. Ulipaswa au kuunga mkono hoja yangu, au kunyamaza.
 
Kuna sehemu hapo juu, ukibofya unaanzisha thread yako mwenyewe. Pia hapo chini unaeza comment kwenye mada bila ya kumnukuu mtu yeyote ule. Acha kujifanya Madenge, wakati unamnukuu mtu jaribu kutupia maneno mawili matatu ambayo yanaendana na unachokinukuu. Hamkufunzwa hilo huko Milembe?
 
Vipi wale waliobeba pesa za NYS katika mifuko, mbona hamuwaui?, stupid Nyang'au, life in Kenya is very valuless.
Wewe tu ndio hivi majuzi ulikuwa unasema eti Wakenya ni washenzi sana kwa kutenda kitendo cha ngono na ng'ombe. Wakenya wakakusikia vyema kisha wakaamua kuchukua hatua. Baada ya hio hatua, tena umeruka futi kumi juu na kukashifu walio chukua hatua. Wewe jamaa haueleweki. Unataka tufanye nini?
 
Hahahahaha..Niliposema wakenya ni washenzi kwa kufanya ngono na wanyama, lengo langu ni kuwahimiza ili muache mambo ya kishenzi na muishi maisha ya kistaarabu kama Tanzania tunavyoishi, na kama lengo ni kukomesha vitendo hivyo, basi mtumie sheria mlizojiwekea sio kufanya vitendo vya kishenzi zaidi kama hiki mlichomfanyia huyo kihana, sasa mumekuwa washenzi mara mbili zaidi.
 
Daah wasichan wa huko hawana huruma kabsaaa
Siwangempa ata chaf moja kulik jamaa aende kwa ngombe

Ladies mung anawaona......
 
Kabisa, kutoa roho ya mtu kisa kafanya ngono na mnyama ni ukatili, ushenzi na unyama usiopimika!
 
huyo ana miaka 25???

ng'ombe mwenyewe anaonekana na yeye kama ana ukimwi.. au ndio chezo la jamaa limemkondesha hivyo
 
Dah, haya matukio ni mengi sana Kenya, wanatia mbuzi, bata, kuku.
Ukute mmoja wa wauwaji anatia bata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…