Kenya kuanzia mwakani hawatakuwa na mitihani ya Taifa

Kenya kuanzia mwakani hawatakuwa na mitihani ya Taifa

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Leo wanafunzi wa Mwisho wanafanya mithani wa mwisho wa waTaifa kwa shule za Misingi Kenya(KCPE)

Kumbuka wana mitaala mipya ambayo imeondoa mitihani ya Taifa kwa shule za misingi. Tanzania bado tunaimini kwenye mitihani na sio kuelewa kwa mwanafunzi.

Hivi sasa unaweza kuta mwaka mzima watoto wanasolviwa Past paper pekee ili waje kujibu mitihani na sio waelewe.

Mtoto hafundishwi techinical skills wala analytical skills,bali wanafundishwa jinsi watakavyo faulu mitihan na kwenda kuwafurahisha wazazi wao.

Mzazi anafurahia mtoto kapata A baada ya kuchora panzi,na kuonyesha kwenye raman mahali mto Naile ulipo.
FB_IMG_1698638617001.jpg
 
Loe wanafunzi wa Mwisho wanafanya mithani wa mwisho wa waTaifa kwa shule za Misingi Kenya(KCPE)

Kumbuka wana mitala mipya ambayo imeondoa mitihani ya Taifa kwa shule za misingi.Tanzania bado tunaimini kwenye mitihani na sio kuelewa kwa mwanafunz.

Hivi sasa unaweza kuta mwaka mzima watoto wanasolviwa Past paper pekee ili waje kujibu mitihani na sio waelewe.

Mtoto hafundishwi techinical skills wala analytical skills,bali wanafundishwa jinsi watakavyo faulu mitihan na kwenda kuwafurahisha wazazi wao.

Mzazi anafurahia mtoto kapata A baada ya kuchora panzi,na kuonyesha kwenye raman mahali mto Naile ulipo.View attachment 2797576
Woow
 
Kumbuka wana mitala mipya ambayo imeondoa mitihani ya Taifa kwa shule za misingi.Tanzania bado tunaimini kwenye mitihani na sio kuelewa kwa mwanafunz.
Aisee..
Ungetuwekea hapa copy ya mtaala wao ingependeza
 
Loe wanafunzi wa Mwisho wanafanya mithani wa mwisho wa waTaifa kwa shule za Misingi Kenya(KCPE)

Kumbuka wana mitala mipya ambayo imeondoa mitihani ya Taifa kwa shule za misingi.Tanzania bado tunaimini kwenye mitihani na sio kuelewa kwa mwanafunz.

Hivi sasa unaweza kuta mwaka mzima watoto wanasolviwa Past paper pekee ili waje kujibu mitihani na sio waelewe.

Mtoto hafundishwi techinical skills wala analytical skills,bali wanafundishwa jinsi watakavyo faulu mitihan na kwenda kuwafurahisha wazazi wao.

Mzazi anafurahia mtoto kapata A baada ya kuchora panzi,na kuonyesha kwenye raman mahali mto Naile ulipo.View attachment 2797576
Mambo ya kulinganisha linganisha nimezoea kuyaona kwa jinsia ya kike.
 
Kwa UE.....na ukifeli wanachop head!
Continuous assessment zitakuwepo na ndio zitapima mtoto plus Mafunzo ya Amali kwenye fani mbali mbali kiasi ukimaliza kinachoitwa basic education uwe na ujuzi wa kufanya jambo Fulani la fani.
 
Wawawekee mfumo Kama wa chuo watoto akipata sup akishindwa kuchomoa anapata Carry na akishindwa chomoa hiyo carry anarudia darasa hii itawafanya watoto wawe na nidhamu ya kuheshimu kila kitu ikiwemo assignment wanazopewa na waalimu wao .

Unajua mfumo was chuo kikuu chapo Kuna faulu nyingi ila huwezi kujisahau
 
Hii mada Inafurahisha.
Inapima, nani kafanya mtihani na nani hakufanya mtihani.

Kama mitihani inakufanya kutoelewa mambo, hamia Kenya.


Mie naenda Burundi.



===================
 
Wawawekee mfumo Kama wa chuo watoto akipata sup akishindwa kuchomoa anapata Carry na akishindwa chomoa hiyo carry anarudia darasa hii itawafanya watoto wawe na nidhamu ya kuheshimu kila kitu ikiwemo assignment wanazopewa na waalimu wao .

Unajua mfumo was chuo kikuu chapo Kuna faulu nyingi ila huwezi kujisahau
Hiyo itakuwa nzuri
 
Back
Top Bottom