Kimya kimya ama kinyaa? Hao watu walikuja kufanyia mipango yao ya kugombea huko kwao huko Nairobi.....Baasi ndio mmeona mmefanya kazi nzito? Wasaidieni ndgu zenu wa South Sudan tuone.....kelele nyingi halaf wabnafsi wakubwaKila siku mnajichocha humu jinsi mnaheshimika nchi za Afrika kumbe wapi. Ubaya wenu ni majivuno ya kijinga - yaani mtu tajika kutoka nchi nyingine akiishi Tanzania kwa muda mnaanza kufoka jinsi mmeikomboa hiyo nchi. Yaoneni sasa. Sisi mambo yetu tunafanya kimya kimya.
πππππ huyo nchi itamshinda ama atafika mahala akae zake nje tuu kukwepa matatzo nchini kwake.Nakubaliana na wewe lakini huoni huyu Tshisekedi alitakiwa akae kwanza ikulu aone matatizo na mahitaji ya nchi yake kwanza na kushughulikia yale yanayopaswa kushughulikiwa kabla ya kuanza kuzurura huku na kule? Kaapishwa juzi tu tayari ameanza safari, akimaliza mwaka si atakuwa amezunguka dunia nzima na kumshinda hata Vasco Dagama?... πππ
Haa! π Tuseme kwa mfano rais Tshisekedi asizuru nje ya DRC rais Uhuru Kenyatta naye akomalie Nairobi. Alafu? [emoji15] Fursa kama hizi za ushirikiano zitatoka wapi?πππ Anashirikiana na Vasco Dagama mwenzake, maana Uhuru naye kwa kuruka ruka angani yupo vizuri... πππ
Wewe na Kenya! Hoja zako kuhusu Kenya huwa ni mbolea ya ng'ombe tupu.Unazima moto kwa Jirani na Kwako kunawaka..
imagine unategemea nchi kama Kenya ikuletee utilivu, Huku al shabaab, Huku Mungiki, Huku Polisi, huku Jubilee, huku njaa na ukabila,
Huku kwetu Uswahilini huwa tunasema "mtembea bure si sawa na mkaa bure, maana huenda akaokota", lakini Tshisekedi kiboko, kukabidhiwa tu safari zinaanza! Ngoja awape fursa za kufaidi dhahabu... πππHaa! π Tuseme kwa mfano rais Tshisekedi asizuru nje ya DRC rais Uhuru Kenyatta naye akomalie Nairobi. Alafu? [emoji15] Fursa kama hizi za ushirikiano zitatoka wapi?
πππKenya naishauri itafute amani kwanza Somalia ambayo ndio kipimo tutakachowapimia kabla ya huko kwa mabutu wa zebanga
πππHuku kwetu Uswahilini huwa tunasema "mtembea bure si sawa na mkaa bure, maana huenda akaokota", lakini Tshisekedi kiboko, kukabidhiwa tu safari zinaanza! Ngoja awape fursa za kufaidi dhahabu... πππ
Huko tayari wameshindaKenya naishauri itafute amani kwanza Somalia ambayo ndio kipimo tutakachowapimia kabla ya huko kwa mabutu wa zebanga