joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kenya stares at food crisis as maize harvests drop
Nairobi. Kenya is staring at a food-shortage crisis and tough economic times following projections of a sharp drop in the maize harvest this year.
Huku baadhi ya wakenya wakisifia idadi kubwa ya matajiri, upande wa pili ni kuhusu wananchi wa kawaida kukumbwa na njaa Kali zaidi kutokana na kushuka kwa uzalishaji wa mahindi.
Taarifa tulizozipata kutoka wizara ya KILIMO ya Tanzania ni kwamba, kwa upande wa Tanzania, uzalisha wa chakula mwaka huu utaongeza zaidi ya ule wa mwaka Jana kutokana na kuongezeka kwa kilimo cha umwagiliaji nchini.
Waziri wa KILIMO wa Tanzania amesema, ikifika mwaka 2020, ekari zaidi ya milioni moja zitakuwa chini ya KILIMO cha umwagiliani na kuifanya Tanzania kuwa ni mzalishaji MKUU wa chakula katika nchi za SADC na EAC.
Wakenya mnakosea wapi?