LAZIMA NISEME
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 240
- 267
Je, Kenya imeweza kutambua kwamba suala hili linaweza kuwa na matokeo tofauti kulingana na walafi wa rasilimali za Afrika na jinsi sera hiyo inavyotekelezwa na serikali inavyoshughulikia masuala ya usalama wa mipaka?
Je, Kenya imejiridhisha juu ya
Je, Kenya imejiridhisha juu ya
- Kuingia kwa watu wanaotaka kufanya uhalifu?
- Ugaidi na Usalama wa Kitaifa?
- Wahamiaji haramu?
- Biashara haramu?
- Ukosefu wa Udhibiti wa Vitambulisho