Kenya kuondoka ICC, Big Up Wakenya!

Kenya kuondoka ICC, Big Up Wakenya!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Nimemsikia Raisi Uhuru Kenya akisema kwamba tayari Bunge la nchi hiyo limepitisha azimio la Nchi ya Kenya kujiondoa ICC, hivyo kinachofwatia ni kujiondoa tu kwenye taasisi hiyo ya Kizungu, hongera sana Raisi Uhuru Kenya kwa kuona mwanga!
 
Afrika bado hatupo tayari kuondoka kwenye kurunzi ya dunia, kuna sehemu nimeona taarifa huko Tanzania jamaa sita wamechinjwa na kuwekwa kwenye mifuko ya sandarusi na kutupwa kwenye mto Ruvu. Halafu waziri ameulizwa kunani akasema hao ni wahamiaji haramu.
ICC sio suluhu Afrika, lakini hata hivyo sisi wenyewe hatuna suluhu. Tunachinjana kama bata wanavyochinjwa.
Fuata huu uzi Waziri Nchemba: Maiti Saba wa Mto Ruvu ni wahamiaji haramu
 
Afrika bado hatupo tayari kuondoka kwenye kurunzi ya dunia, kuna sehemu nimeona taarifa huko Tanzania jamaa sita wamechinjwa na kuwekwa kwenye mifuko ya sandarusi na kutupwa kwenye mto Ruvu. Halafu waziri ameulizwa kunani akasema hao ni wahamiaji haramu.
ICC sio suluhu Afrika, lakini hata hivyo sisi wenyewe hatuna suluhu. Tunachinjana kama bata wanavyochinjwa.
Fuata huu uzi Waziri Nchemba: Maiti Saba wa Mto Ruvu ni wahamiaji haramu


Ni wapi hakuna matukio kama hayo uliyoyasema Dunia hii? USA watu wangapi hupigwa Risasi live na Askari kila siku mbona hawapelekwi ICC? Uturuki huko kote mbona kuna maishu kila siku na watu wa Uturuki hawalili kuhukimiwa na Wazungu kama sisi? Tatizo sisi Waafrika hatujiamini na tumeaminishwa na Wazungu kwamba matatizo yetu ni ya kipekee Dunia hii na kwamba Mzungu ndiyo anayaeweza kuyatatua na ndiyo maaana tunakimbilia kwake, ...
 
UPUZI MTUPU! MWAFRIKA sie akili za pembeni lakini. kutoka rwanda, kenya south kwenda north ni kuwanyanyasa waafrika wenzao na mamlaka waliopewa na wananchi wenyewe!! unaondoka ICC mbona wasifanyie walioadhirika na mauji haki badala kila uchao ICC. sikuwaona majaji wa ICC wakiwaua watoto na maskini wanawake kwa mapanga na kuchoma moto!! ni mijitu wanaoshikilia mamlaka na vibaka wengine walio mitaani mpaka wa leo!! useless!!!
 
Afrika bado hatupo tayari kuondoka kwenye kurunzi ya dunia, kuna sehemu nimeona taarifa huko Tanzania jamaa sita wamechinjwa na kuwekwa kwenye mifuko ya sandarusi na kutupwa kwenye mto Ruvu. Halafu waziri ameulizwa kunani akasema hao ni wahamiaji haramu.
ICC sio suluhu Afrika, lakini hata hivyo sisi wenyewe hatuna suluhu. Tunachinjana kama bata wanavyochinjwa.
Fuata huu uzi Waziri Nchemba: Maiti Saba wa Mto Ruvu ni wahamiaji haramu
Shika ya kwenu milele . ..pili pili iko shamba inkuwashia nini?
 
Ni wapi hakuna matukio kama hayo uliyoyasema Dunia hii? USA watu wangapi hupigwa Risasi live na Askari kila siku mbona hawapelekwi ICC? Uturuki huko kote mbona kuna maishu kila siku na watu wa Uturuki hawalili kuhukimiwa na Wazungu kama sisi? Tatizo sisi Waafrika hatujiamini na tumeaminishwa na Wazungu kwamba matatizo yetu ni ya kipekee Dunia hii na kwamba Mzungu ndiyo anayaeweza kuyatatua na ndiyo maaana tunakimbilia kwake, ...
MAULANA IBARIKI NCHI YETU TANZANIA milele yote Amen RA
 
Ni wapi hakuna matukio kama hayo uliyoyasema Dunia hii? USA watu wangapi hupigwa Risasi live na Askari kila siku mbona hawapelekwi ICC? Uturuki huko kote mbona kuna maishu kila siku na watu wa Uturuki hawalili kuhukimiwa na Wazungu kama sisi? Tatizo sisi Waafrika hatujiamini na tumeaminishwa na Wazungu kwamba matatizo yetu ni ya kipekee Dunia hii na kwamba Mzungu ndiyo anayaeweza kuyatatua na ndiyo maaana tunakimbilia kwake, ...

atajuaje wakati amejifungia, hata habari hapati , juz juzi tu hapa kulikuwa na wimbi la kuuwawa kwa watu waeusi huko USA, mbona ICc haikutoa tamko dhidi ya USA
 
Afrika bado hatupo tayari kuondoka kwenye kurunzi ya dunia, kuna sehemu nimeona taarifa huko Tanzania jamaa sita wamechinjwa na kuwekwa kwenye mifuko ya sandarusi na kutupwa kwenye mto Ruvu. Halafu waziri ameulizwa kunani akasema hao ni wahamiaji haramu.
ICC sio suluhu Afrika, lakini hata hivyo sisi wenyewe hatuna suluhu. Tunachinjana kama bata wanavyochinjwa.
Fuata huu uzi Waziri Nchemba: Maiti Saba wa Mto Ruvu ni wahamiaji haramu
Kama wahamiaji haramu kutoka kenya na ethiopia wameuana wao kwa wao sisi tutajuaje? Wewe unganisha dots mbili tu kwamba juzi wamekamatwa wahamiaji haramu zaidi ya themanini walioingia bagamoyo kwa kutumia mashua. Hizo dots mbona rahisi sana. Hujui huko kenya raia wanakimbia kutafuta japo mlo. Wanakibia na kuja TZ.
 
Naona watu wengi wanafurahia Kenya kujiondoa kutoka ICC. Lakini kweli wanaelewa ina maana gani?

The ICC was established by the Rome statute which was ratified by most countries, especially African countries and other 3rd world countries. Its main purpose was to prosecute persons who had committed international crimes under the Rome statute and the Geneva convention.

The reason why its meaningless for African states to withdraw from the Court is because currently one can still be prosecuted even without the state being a member of the Court.

This is done by the referral of the matter to the chief prosecutor by the UN Security Council. So in simple terms, withdrawal does not mean you are done with the court...the security council can send you there.
 
Back
Top Bottom