Kenya kuongeza muda wa Rais kutawala kuwa miaka 7, mbioni kuunda cheo cha Waziri Mkuu

Kenya kuongeza muda wa Rais kutawala kuwa miaka 7, mbioni kuunda cheo cha Waziri Mkuu

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Kenya imewasilisha Bunge la seneti mswaada wa kuongeza muda wa Rais Kutawala kutoka miaka 5 kwenda miaka 7 sanjali na kuunda nafasi ya Waziri Mkuu.

Kenya ambayo chadema huwa wanaitolea mfano ni mojawapo ya Taifa ambalo linatapatapa na linaelekea kuparaganyika huku Mabadiliko ya Katiba waliyoyafanya yakishindwa kuzaa matunda ya Ustawi Kwa Wananchi sana sana yameongeza migogoro ya Kisiasa.👇👇

My Take: Tanzania inasalia kuwa Mwalimu wa wengine na mfano Bora wa Utawala Bora na Katiba Bora.

Tusije kurogwa kukurupuka kama hao Jamaa.

----------------

Recently, Kenyan lawmakers have begun looking into the prospect of extending the terms served by the president and parliamentary members (MPs). The bill proposes a 7 year presidential term as opposed to the current 5 years. The term increase also applies to governors, MPs, and Members of the County Assembly (MCAs).

President William Ruto at the Kenya Business and Investment Roundtable in New York

The Constitution of Kenya (Amendment) bill 2024 which was submitted to the senate has become a subject of discussion both within the senate house and outside of it.

The bill also advocates for the appointment of a prime minister who would be hand-picked by the sitting president from amongst the parliamentary members.

This bill which is already in its first reading could be traced back to November 2022, when a member of the senate, according to Citizen TV Kenya, proposed that term limit should be removed in place of an age limit of 75 years.
Given the current socio-political climate trailing the recent anti-bill protest that rocked the east African country, it’s not hard to imagine that the general public would largely be against this new bill, particularly the country’s youth.

Given the current socio-political climate trailing the recent anti-bill protest that rocked the east African country, it’s hard not to imagine the rejection of the bill by the general public, particularly the country’s youth.
If passed, Kenya would be among some other East African countries whose constitutional reviews have allowed for extension of terms in offices.

The bill which had been submitted to the Senate and first read on Sept. 26 is s being discussed by a committee, and the Kenyan public has been invited to provide feedback on the idea.

Kenya’s protest​

In June, Kenyans took to the streets to stand against a tax bill introduced by President Ruto. What began as an anti-tax protest, quickly escalated into an anti-government match.

The originally peaceful protest in Nairobi turned violent with over 40 deaths reported.

The tax bill in question was imposed on basic amenities, products that contribute to e-waste and harm the environment, imported products, and products and services used directly and exclusively in the building, which infuriated Kenyans.

The Kenyan government argued that the taxes collected would help ease its debt burden, and depend less on external loans.

However, soon after the protests turned deadly, the president was forced to withdraw the tax bill.

That did not stop Kenyan youths from calling for the resignation of the president, which led to the dissolution of his cabinet and the retirement of offices including the office of the first lady, and the retirement and sack of other high level officials.

Business Insider
 
Kwa nini uwaite MaChadema?
😅😅😅
Kenya ni wao na TANZANIA ni sisi.
Machadema si ndio Huwa yanaona Kenya ndio mfano wa Demokrasia? 😂😂😂😂

Kwa Katiba hiyo hiyo ya hovyo ya Kenya Rais anaingilia Bunge,Mahakama na wengine wote,eti ndio wanataka tuige,never.

Mwisho Lisu Huwa anaita Maccm so jino Kwa jino.

Machadema huku kwenye kufukuzana hatutaenda 👇👇
 
Mazur tunasema na mabaya tunayakataa
Kenya Kuna Mazuri kama yapi ya Tanznaia kuiga? Haya ya Wakosoaji wa Serikali kutekwa na kubakwa? 👇👇👇

A Kenyan blogger named Bruce John Chawa was subjected to a brutal assault, including abduction, torture, sodomy, and gang rape, reportedly for criticizing Mombasa County Governor Abdulswamad Sheriff Nassir on social media.

According to reports, a distressing video of the assault was circulated on social media platforms, sparking widespread public outrage.

Kenya's Directorate of Criminal Investigations (DCI) has intervened, and detectives from the Operations Support Unit and DCI Coast have apprehended four suspects linked to the attack.

Investigations revealed that Chawa was attacked by a group of more than ten individuals riding motorcycles. The gang reportedly forced their way into his residence in Bamburi Mwisho, Mombasa County, by breaking down his door.

The incident highlights severe concerns about freedom of expression and the safety of journalists and online commentators in Kenya. The authorities are continuing their investigation to ensure justice is served.
 
Una akili za kitoto.Inaonekana hujui ata katiba iko kwasababu gani na ni kipi kinachofanya katiba ionekane ni bora.jielimishe kwanza kabla ya kuja kuandika mashudu mtandaoni.
 
Una akili za kitoto.Inaonekana hujui ata katiba iko kwasababu gani na ni kipi kinachofanya katiba ionekane ni bora.jielimishe kwanza kabla ya kuja kuandika mashudu mtandaoni.
Nina akili nyingi kuliko boga lako ulilobeba limejaa makamasi.

Nyie Machadema,Kenya mnayoitoleaga mfano ndio hii yenye hayo matakataka? Au Kuna nyingine?

Nyumbu ni nyumbu tuu
 
Mleta mada ni moja ya mafurushi tuliyonayo tanzagiza, katiba ya Tanzania ya 1977, miaka zaidi 45 unatumia kitu kile kile...rubbish 🗑 🚮
 
Raila
Kenya imewasilisha Bunge la seneti mswaada wa kuongeza muda wa Rais Kutawala kutoka miaka 5 kwenda miaka 7 sanjali na kuunda nafasi ya Waziri Mkuu.

Kenya ambayo chadema huwa wanaitolea mfano ni mojawapo ya Taifa ambalo linatapatapa na linaelekea kuparaganyika huku Mabadiliko ya Katiba waliyoyafanya yakishindwa kuzaa matunda ya Ustawi Kwa Wananchi sana sana yameongeza migogoro ya Kisiasa.👇👇

My Take: Tanzania inasalia kuwa Mwalimu wa wengine na mfano Bora wa Utawala Bora na Katiba Bora.

Tusije kurogwa kukurupuka kama hao Jamaa.

----------------

Recently, Kenyan lawmakers have begun looking into the prospect of extending the terms served by the president and parliamentary members (MPs). The bill proposes a 7 year presidential term as opposed to the current 5 years. The term increase also applies to governors, MPs, and Members of the County Assembly (MCAs).

President William Ruto at the Kenya Business and Investment Roundtable in New York

The Constitution of Kenya (Amendment) bill 2024 which was submitted to the senate has become a subject of discussion both within the senate house and outside of it.

The bill also advocates for the appointment of a prime minister who would be hand-picked by the sitting president from amongst the parliamentary members.

This bill which is already in its first reading could be traced back to November 2022, when a member of the senate, according to Citizen TV Kenya, proposed that term limit should be removed in place of an age limit of 75 years.
Given the current socio-political climate trailing the recent anti-bill protest that rocked the east African country, it’s not hard to imagine that the general public would largely be against this new bill, particularly the country’s youth.

Given the current socio-political climate trailing the recent anti-bill protest that rocked the east African country, it’s hard not to imagine the rejection of the bill by the general public, particularly the country’s youth.
If passed, Kenya would be among some other East African countries whose constitutional reviews have allowed for extension of terms in offices.

The bill which had been submitted to the Senate and first read on Sept. 26 is s being discussed by a committee, and the Kenyan public has been invited to provide feedback on the idea.

Kenya’s protest​

In June, Kenyans took to the streets to stand against a tax bill introduced by President Ruto. What began as an anti-tax protest, quickly escalated into an anti-government match.

The originally peaceful protest in Nairobi turned violent with over 40 deaths reported.

The tax bill in question was imposed on basic amenities, products that contribute to e-waste and harm the environment, imported products, and products and services used directly and exclusively in the building, which infuriated Kenyans.

The Kenyan government argued that the taxes collected would help ease its debt burden, and depend less on external loans.

However, soon after the protests turned deadly, the president was forced to withdraw the tax bill.

That did not stop Kenyan youths from calling for the resignation of the president, which led to the dissolution of his cabinet and the retirement of offices including the office of the first lady, and the retirement and sack of other high level officials.

Business Insider
yuleeeeeee
 
Kenya wako vizuri sana.kukiwa na tatizo wabunge wanakaa wanajadili Kwa kushirikiana na wananchi na kupata ufumbuzi kama wanavyojadili Kwa Sasa.Tofauti na mwendawazimu Tanzania katiba inamatobo mengi lakini hakuna wa kukubaliwa kubadilishwa.
 
Back
Top Bottom