Kenya kupoteza zaidi ya billion 1.2 baada ya Tanzania kufunga radar zake 4 mpya za kisasa

Yani mpaka Radar mpya inaahitaji sherehe ya uwekezaji wa jiwe la msingi, jamaneni!

Ndo maana kwa psychy ya watz wengi hapa JF hua wanapenda kujigamba kua wana project nyingi, kumbe ni viongozi wenu wana attend kila uvumbuzi , hadi duka LA cherehani kushona nguo
 

Uhuru opens Sh125million plant for preserving livestock semen
 
Wewe nyang'au sherehe kwani kuna watu walikula wali hapo
 

Uhuru opens Sh125million plant for preserving livestock semen
You know very little about agricultural research and the benefits it brings with improved animal stock and increase in output. You want to compare that with radar, a NAZI era invention? You are joking.
 
You know very little about agricultural research and the benefits it brings with improved animal stock and increase in output. You want to compare that with radar, a NAZI era invention? You are joking.
Wewe ndiyo kichwa maji kabisa, unalinganisha radars zinazohusisha usalama wa anga kwa ajili ya maisha ya binadamu na hizo sperms za wanyama kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…