Yani mpaka Radar mpya inaahitaji sherehe ya uwekezaji wa jiwe la msingi, jamaneni!
Ndo maana kwa psychy ya watz wengi hapa JF hua wanapenda kujigamba kua wana project nyingi, kumbe ni viongozi wenu wana attend kila uvumbuzi , hadi duka LA cherehani kushona nguo
Wewe nyang'au sherehe kwani kuna watu walikula wali hapoYani mpaka Radar mpya inaahitaji sherehe ya uwekezaji wa jiwe la msingi, jamaneni!
Ndo maana kwa psychy ya watz wengi hapa JF hua wanapenda kujigamba kua wana project nyingi, kumbe ni viongozi wenu wana attend kila uvumbuzi , hadi duka LA cherehani kushona nguo
Unajua kiswahil wewe?Sasa ..ni kenya inapoteza ama tanzania ..rubbish ...
Ahhha haaha Uhuru ana vituko sana
Uhuru opens Sh125million plant for preserving livestock semen
Kwa tafsiri ni "kakiwanda ka kutunzia shahawa za wanyama"
Uhuru opens Sh125million plant for preserving livestock semen
Kusomaa na kuelewa vituviwili tofautiSasa ..ni kenya inapoteza ama tanzania ..rubbish ...
Sasa ..ni kenya inapoteza ama tanzania ..rubbish ...
MsameheeUnajua kiswahil wewe?
Uhuru opens Sh125million plant for preserving livestock semen
You know very little about agricultural research and the benefits it brings with improved animal stock and increase in output. You want to compare that with radar, a NAZI era invention? You are joking.
Uhuru opens Sh125million plant for preserving livestock semen
Unajua Kenya inaproduce more milk than any other country in Africa?Kwa tafsiri ni "kakiwanda ka kutunzia shahawa za wanyama"
Kwa tafsiri ni "kakiwanda ka kutunzia shahawa za wanyama"
Kenya ranked as 'failed state'Unajua Kenya inaproduce more milk than any other country in Africa?
Hiyo bil 5 gawanya kwa 10, halafu wanacheka rada ya bil 67 hapo hatujaweka ndegeAngalia gharama yake ndo utachoka. Hata 5bill haifiki.
Wewe ndiyo kichwa maji kabisa, unalinganisha radars zinazohusisha usalama wa anga kwa ajili ya maisha ya binadamu na hizo sperms za wanyama kweli?You know very little about agricultural research and the benefits it brings with improved animal stock and increase in output. You want to compare that with radar, a NAZI era invention? You are joking.