Kenya kurusha vyombo viwili zaidi angani kutokea kituo cha Malindi

ofcourse pelekeni mahindi kwa over 1.5 mln Kenyans in hunger! Uhuru hana tofauti na Kim Rais wa Korea Kaskazini!
Tony254
 
Kwa Kenya hiyo miradi kwa sasa siyo kipau mbele. Kuna a lot of (basic) pressing issues.

Nahisi ni deal za watu hizo kwenye 10%.

Ona unafuja pesa, wakati una watu kama hawa 👇🏽👇🏽👇🏽 kila mahali ya Kenya.


 

Attachments

  • IMG_2414.jpg
    38.6 KB · Views: 2
Hahahaaaa

Wakenya bana.

Wenzenu Wazambia walishagaanza hayo mambo tokea 1964 🤣🤣🤣

 
Hongera yao
 
So vibaya kurusha hivyo vyombo, ila ningewashauri mngekabiliana kwanza na njaa ndio mje kwenye mambo mengine,juzi tu nilikuwa kisumu,watu wanadondoka tu njiani kwa ajili ya njaa
Dah, babu wee mwongo kumbe, sikujua! 🤣 🤣 🤣
✌️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…