Jamaaa unachekesha sana et kwanini asingemuomba anko maguZungumzia hii hali ya kuongezeka kwa deni lenu. Wakati tunafufua EAC, Tanzania, Kenya na Uganda tulikubaliana "debt ceiling" isivuke $50B kwa kila nchi mwanachama, Kenya mlikubali na mkaweka saini, vipi mnapandisha kinyemela bila kuwataarifu wenzenu?.
Kama mlikua na shida ya pesa, kwanini Uhuru Kenyatta asingemuomba "uncle Magu?", sasa Jumuiya gani ambayo sheria haxizingatiwi?. SADC hoyeeeeeeeee.
Kumuomba Uncle pesa au? Unatania sio? 😂Zungumzia hii hali ya kuongezeka kwa deni lenu. Wakati tunafufua EAC, Tanzania, Kenya na Uganda tulikubaliana "debt ceiling" isivuke $50B kwa kila nchi mwanachama, Kenya mlikubali na mkaweka saini, vipi mnapandisha kinyemela bila kuwataarifu wenzenu?.
Kama mlikua na shida ya pesa, kwanini Uhuru Kenyatta asingemuomba "uncle Magu?", sasa Jumuiya gani ambayo sheria haxizingatiwi?. SADC hoyeeeeeeeee.
Hahahaha, hili ndio tatizo lenu kubwa, kujifanya wajuaji katika kila jambo. Hujasoma EAC treaty wala vigezo vilicyowekwa na nchi za EAC vinavyoweza kusababishwa nchi kumsimamisha uwanachama, badala yake unazungumza mambo kutoka kichwani mwako ili kuridhisha " your ego". Onyesha wapi umesoma hayo unayozungumza.Debt cieling ya EAC ni kwa minajili ya "East Africa single currency" si kwa minajili ya EAC membership.
Kwahivyo kukosa kufikisha 50% uta affect formation ya single currency not membership. Tz yenyewe imekua ikikiuka Sheria za EAC Kama customs union, no tarrifs on trade ...etc lakini hauwezi ukapoteza membership kwa sababu ya Mambo Kama haya kwasababu it's only one section of EAC intergration, Kuna section zengine kibao ambazo wana cooperate.... Mambo ambayo yanaweza kupotezea membership ni Mambo ambayo yanaweza affect fundermental harmony ya EAC Kama vile nchi kukaa bila bunge kwa zaidi ya miezi nane kwasababu raise dicteta kaamuru serekali yote na bunge livunjwe na majeshi yaongoze nchi, au nchi moja kuvamia nchi nyengine kwa Vita vya kijeshi... Mifano Kama hio ndo Ina qualify kufukuzwa kwa EAC na wanachama wengine manake umekua pariah state (Kama vile Morocco ilivyo poteza membership ya AU)
Si wewe ndo unasema ushaisoma, Sasa mbona unaniuliza Mimi nikuletee EAC treaty?Hahahaha, hili ndio tatizo lenu kubwa, kujifanya wajuaji katika kila jambo. Hujasoma EAC treaty wala vigezo vilicyowekwa na nchi za EAC vinavyoweza kusababishwa nchi kumsimamisha uwanachama, badala yake unazungumza mambo kutoka kichwani mwako ili kuridhisha " your ego". Onyesha wapi umesoma hayo unayozungumza.