dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Source BBC SWAHILI
Nchi jirani ya Kenya itagharahia mpango wa kutoa dola 24 kila mwezi kwa raia wake kwa watu maskini kukaribiana na umaskini. watu ambao watafaidika ni watu wa Nairobi na Mombasa ambazo zitawasaidia katika ununuzi wa chakula na kuinua biashara zao.
My take
Hivi hapa kwetu kwanza ule mpango wa matibabu bure kwa wazee wetu yapo? vp pension za waastafuu zimeongezwa?
Na maskini wetu wanasaidiwaje na kodi zetu? mfumuko wa bei vp? au mpaka mbunge afe ndo tuone misaada
Nchi jirani ya Kenya itagharahia mpango wa kutoa dola 24 kila mwezi kwa raia wake kwa watu maskini kukaribiana na umaskini. watu ambao watafaidika ni watu wa Nairobi na Mombasa ambazo zitawasaidia katika ununuzi wa chakula na kuinua biashara zao.
My take
Hivi hapa kwetu kwanza ule mpango wa matibabu bure kwa wazee wetu yapo? vp pension za waastafuu zimeongezwa?
Na maskini wetu wanasaidiwaje na kodi zetu? mfumuko wa bei vp? au mpaka mbunge afe ndo tuone misaada
