Kenya kutumia valentine day kumwomba Mungu alete mvua

Kenya kutumia valentine day kumwomba Mungu alete mvua

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
3,891
Reaction score
8,448
HABARI Rais wa Kenya William Ruto, ametangaza kwamba siku ya kesho ya Februari 14, 2023, itakuwa ni siku maalum ya maombi kitaifa ya kuombea mvua, yatakayofanyika kwenye uwanja wa Nyayo.

Hatua hiyo imekuja kufuatia hali ya ukame na njaa inayoikabili nchi hiyo.

#EastAfricaTV


20230213_102608.jpg
 
Mimi pamoja na Wabunge wenzangu isipo kuwa Luhaga Mpina ; kwanza nimpongeze mama yetu samia suruhu hasani anavyo shughulikia matatizo yetu tofauti na ndugu zetu wa kenya. Haya majanga pamoja na kupanda kwa bei ya vitu ni matokeo ya vita vya urusi hivyo wananchi wawe watulivu
 
Mimi pamoja na Wabunge wenzangu isipo kuwa Luhaga Mpina ; kwanza nimpongeze mama yetu samia suruhu hasani anavyo shughulikia matatizo yetu tofauti na ndugu zetu wa kenya. Haya majanga pamoja na kupanda kwa bei ya vitu ni matokeo ya vita vya urusi hivyo wananchi wawe watulivu
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Back
Top Bottom