Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Wakenya Hamjambo?
Jana nimefuatilia katika vyombo mbali mbali vya habari Wakati Rais Uhuru alipoapishwa kuongoza tena Kenya. Nilifurahi alipotoa khotba yake na kueleza kwamba kwa sasa watu kutoka Nchi wanachama wa Jumuia yetu ya Afrika Mashariki wana Uhuru wa kuingia Kenya Kufanya kazi biashara hata kuoa au kuolewa. watahitaji tu Kitambulisho cha Utaifa.
Kwangu hii ni hatua kubwa sana katika kuimarisha siasa za Kenya ambazo kwa kiasi kikubwa zinatawaliwa na msukumo wa ukanda na ukabila.Ni matumaini yangu kwamba baada ya watu wa mataifa mengine ya jirani kuingia Kenya na kufanya shughuli zao kwa kiasi kikubwa kabisa mbegu ya ukabila inaweza kupungua au kimalizika kabisa. Heko rais Uhuru hapa umefanya Jambo la maana sana.
Hongereni sana Majirani zangu Wakenya sasa Mpige kazi Siasa wekeni Pembeni.
Jana nimefuatilia katika vyombo mbali mbali vya habari Wakati Rais Uhuru alipoapishwa kuongoza tena Kenya. Nilifurahi alipotoa khotba yake na kueleza kwamba kwa sasa watu kutoka Nchi wanachama wa Jumuia yetu ya Afrika Mashariki wana Uhuru wa kuingia Kenya Kufanya kazi biashara hata kuoa au kuolewa. watahitaji tu Kitambulisho cha Utaifa.
Kwangu hii ni hatua kubwa sana katika kuimarisha siasa za Kenya ambazo kwa kiasi kikubwa zinatawaliwa na msukumo wa ukanda na ukabila.Ni matumaini yangu kwamba baada ya watu wa mataifa mengine ya jirani kuingia Kenya na kufanya shughuli zao kwa kiasi kikubwa kabisa mbegu ya ukabila inaweza kupungua au kimalizika kabisa. Heko rais Uhuru hapa umefanya Jambo la maana sana.
Hongereni sana Majirani zangu Wakenya sasa Mpige kazi Siasa wekeni Pembeni.