Kenya: Lowassa atoa salam za rambirambi kwenye mazishi ya Ngaisel

Mkuu;
Haraka ya nini?? Najua unataka tumsikie lakini kule anazungumzia mtu mwingine tofauti na uliye mwandika hapa. Hivi ni Ngaiseli au Nkaissery??
 
LOWASA AMSIFIA NGAISELI
CITIZEN TV KANYA LIVE NOW
Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba amemwakilisha Rais Magufuli ametoa best speech
 
Lowassa ni Laigwanan Mkuu wa jamii yote ya maasai duniani kote wako chini yake (kiitikadi na imani zao) na marehemu ni masai. So, alichokifanya Lowassa ni wajibu wake kama Kiongozi Mkuu wa kiimani wa marehemu. Ni kama alivyo Dalai Lama.
 
Alafu hawa mabinti wametutumbiuza fresh sana,
 
Afu wewe ujue asiyesomesha wazazi kule Tz alishasema ni miaka 30 kwa mafisi yanayowinda hawa, hii sheria na ije Kenya.
Ipo hiyo sheria ukipatikana na hawa bado wako mbichi. Lakini si unajuanga mafc ni msfc tu.
 
Afu wewe ujue asiyesomesha wazazi kule Tz alishasema ni miaka 30 kwa mafisi yanayowinda hawa, hii sheria na ije Kenya.
Haha aisee, bora abaki huko huko,kwa sheria hizo wengine ndo tutaozea selo kulee shimo la tewa..
In other news safaricom wamesafisha mecho wadau pale stadi mbaya sana, nilimbao hatarr[emoji3] [emoji3] [emoji109]
 
Haha aisee, bora abaki huko huko,kwa sheria hizo wengine ndo tutaozea selo kulee shimo la tewa..
In other news safaricom wamesafisha mecho wadau pale stadi mbaya sana, nilimbao hatarr[emoji3] [emoji3] [emoji109]
View attachment 543018

Haya bana, yaani sitohama mtandao wa Safaricom wakiendelea hivi....
 
Who is Ngaisel Tafdhali waTZ mlivyo aribu lugha zenu mkaanza kujiita John Kevin Magufuli msifanye huo ujinga kenya

Say his African name properly

Ole Nkaiserry Joseph....

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Haha aisee, bora abaki huko huko,kwa sheria hizo wengine ndo tutaozea selo kulee shimo la tewa..
In other news safaricom wamesafisha mecho wadau pale stadi mbaya sana, nilimbao hatarr[emoji3] [emoji3] [emoji109]
View attachment 543018
Sijui kama safaricom watanikubalia?Niredeem tu bonga points waniwai kajamo hapo!
 
Who is Ngaisel Tafdhali waTZ mlivyo aribu lugha zenu mkaanza kujiita John Kevin Magufuli msifanye huo ujinga kenya

Say his African name properly

Ole Nkaiserry Joseph....

Post sent using JamiiForums mobile app
And your Name is Sammuel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…