DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Madaktari pamoja na Clinical Officer Kenya wamefanya maandamano Kushinikiza Serkali kusikiliza Madai yao na Kuboresha Stahiki zao pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Hapa kwetu hawawezi maana wali danganywa kwamba hiyo kazi ni wito na wakaamini...🤣
Bora hao waliojaribu kizazi cha Ulimboka sijui cha sasa kama kinaweza hata tu kusema neno Maandamano😅😅😅
Ila waliwahi kujaribu wakakiona cha mtema kuni
We mzee una mkumbuka dkt ... Walicho mfanya enzi za jk🤣🤣.Hapa kwetu hawawezi maana wali danganywa kwamba hiyo kazi ni wito na wakaamini...🤣
Hata kujaribu hawawezi 😅😅😅Bora hao waliojaribu kizazi cha Ulimboka sijui cha sasa kama kinaweza hata tu kusema neno Maandamano
Kiongozi wao alikuwa Kigwangala 🐼😅😅😅
Ila waliwahi kujaribu wakakiona cha mtema kuni
Kigwangala alikuwa intern Enzi hizo bhna..Kiongozi wao alikuwa Kigwangala 🐼
Asingeweza hata kidogo kuongea tena 😅😅Yes wame push back ,hawajakimbilia kwenye social networks kulalama,yule yule yule so called Dr.ulimboka ,alivyotoka kutibiwa akafyata mkia na ikawa kimya
Dr Ulimboka habari anayo...😜😅😅😅
Ila waliwahi kujaribu wakakiona cha mtema kuni
Dr Ulimboka, kwani walimfanyaje kabla ya kumtupa porini...🙄We mzee una mkumbuka dkt ... Walicho mfanya enzi za jk🤣🤣.
Sasa we wajazee upepo tu
Wee USI niulize, Kama vile nami nili tekwa. Au ni sehemu ya watekaji😀😁Dr Ulimboka, kwani walimfanyaje kabla ya kumtupa porini...🙄
Sisi hatuombi kufika hukoMadaktari pamoja na Clinical Officer Kenya wamefanya maandamano Kushinikiza Serkali kusikiliza Madai yao na Kuboresha Stahiki zao pia..
![]()
Kenya Union of Clinical Officers war live. | By Kenya Union of Clinical Officers | Facebook
Kenya Union of Clinical Officers war live.www.facebook.com
Kwasababu hatuna uwezo wa kutetea Haki zetu..Sisi hatuombi kufika huko
umenishinda haahaa!Raha ya bhangi changanya na Viagra.
View attachment 2965251