DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
π π πHapa kwetu hawawezi maana wali danganywa kwamba hiyo kazi ni wito na wakaamini...π€£
Bora hao waliojaribu kizazi cha Ulimboka sijui cha sasa kama kinaweza hata tu kusema neno Maandamanoπ π π
Ila waliwahi kujaribu wakakiona cha mtema kuni
We mzee una mkumbuka dkt ... Walicho mfanya enzi za jkπ€£π€£.Hapa kwetu hawawezi maana wali danganywa kwamba hiyo kazi ni wito na wakaamini...π€£
Hata kujaribu hawawezi π π πBora hao waliojaribu kizazi cha Ulimboka sijui cha sasa kama kinaweza hata tu kusema neno Maandamano
Kiongozi wao alikuwa Kigwangala πΌπ π π
Ila waliwahi kujaribu wakakiona cha mtema kuni
Kigwangala alikuwa intern Enzi hizo bhna..Kiongozi wao alikuwa Kigwangala πΌ
Asingeweza hata kidogo kuongea tena π πYes wame push back ,hawajakimbilia kwenye social networks kulalama,yule yule yule so called Dr.ulimboka ,alivyotoka kutibiwa akafyata mkia na ikawa kimya
Dr Ulimboka habari anayo...ππ π π
Ila waliwahi kujaribu wakakiona cha mtema kuni
Dr Ulimboka, kwani walimfanyaje kabla ya kumtupa porini...πWe mzee una mkumbuka dkt ... Walicho mfanya enzi za jkπ€£π€£.
Sasa we wajazee upepo tu
Wee USI niulize, Kama vile nami nili tekwa. Au ni sehemu ya watekajiππDr Ulimboka, kwani walimfanyaje kabla ya kumtupa porini...π
Sisi hatuombi kufika hukoMadaktari pamoja na Clinical Officer Kenya wamefanya maandamano Kushinikiza Serkali kusikiliza Madai yao na Kuboresha Stahiki zao pia..
Kenya Union of Clinical Officers war live. | By Kenya Union of Clinical Officers | Facebook
Kenya Union of Clinical Officers war live.www.facebook.com
Kwasababu hatuna uwezo wa kutetea Haki zetu..Sisi hatuombi kufika huko
umenishinda haahaa!Raha ya bhangi changanya na Viagra.
View attachment 2965251