Kenya madaraka day

KIBE

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
943
Reaction score
185
Leo miaka 51 uhuru wa kenye live citizen tv. Nikiangalia ukakamavu wa jeshi la kenye ukweli bado ndogo sana ukilinganisha na jwtz.ukiangalia wanavyo hand usalama wa uwanja viongozi wao ni kidhaifu sana. Hata mpangilio wa kuingia viongozi na kuwakaribisha viongozi kiusalama ni dhaifu kabisa.
 
lakini maonesho ya air force yao nimeipenda - sio kule kupanga ndege angani kama za civil aviation - hawa wameonesha maneuvers za ukweli kwa uchache.
 
huyu mzee wa kikikuyu alikuwa wapi kuiombea kenya isiingie kwenye mtafaruku - sasa ndo anawapa onyo al shabab??
 
Ninyi kawaida yenu mna matatizo sana, hivi unaweza vipi kuhukumu udhaifu wa ulinzi kwa kuangalia tamasha kwenye runinga. Jeshi letu lipo imara na ndio la sita bora Afrika. Nimependa sana jinsi ndege zetu za kivita zimedhihirisha ushujaa na ubora wa marubani wetu. Uwezo tunao, Mungu ibariki Kenya....adui wabaki pembeni.
 
huyu mzee wa kikikuyu alikuwa wapi kuiombea kenya isiingie kwenye mtafaruku - sasa ndo anawapa onyo al shabab??
Nani kawaambia kila lugha lazima iwe ni Kikikuyu. Huyo mzee ni wa Kimaasai.
 
wakenya wako mbali - Kenyatta anasema wameanzisha na wanaendelea na mradi wa umwagiliaji wa eka milioni moja - sio Tz - oh tunajipanga, mkakati, usadifu na bla bla nyingi pamoja na utajiri mwingi. Wake up Tz!!
 
Hujo mjeda nyuma ya rais ndio CDF wa Kenya??

Nimevutiwa na umbo lake la ukakamavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…