ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mambo yanazidi kuwekwa wazi huko Kenya baada ya Mbunge mmja kudai kwamba Walihongwa Shilingi Milioni 41 na Serikali ya Ruto Ili Kupitisha Msaada wa sheria ya Fedha unaolalamikiwa na raia wa Nchi hiyo na kuzusha maandamano.
View: https://www.instagram.com/p/C8oOuHhq_xK/?igsh=MTN6MWdhdjg4OXlhag==
My Take
Chadema mnasemaje ikiwa haya yanafanyika licha ya Kenya kuwa na Katiba Mpya na Demokrasia ya Vyama vingi..
Kila siku nawaambia Kinachoitwa Katiba Mpya ni Utapeli wa Wanasiasa kutafuta ulaji ila hakina maana yeyote Kwa mwananchi wakaida kama wanavyolishwa maneno na Wanasiasa uchwara wanapotaka kuwafanya ngazi ya kwenda kula.
View: https://www.instagram.com/p/C8oOuHhq_xK/?igsh=MTN6MWdhdjg4OXlhag==
My Take
Chadema mnasemaje ikiwa haya yanafanyika licha ya Kenya kuwa na Katiba Mpya na Demokrasia ya Vyama vingi..
Kila siku nawaambia Kinachoitwa Katiba Mpya ni Utapeli wa Wanasiasa kutafuta ulaji ila hakina maana yeyote Kwa mwananchi wakaida kama wanavyolishwa maneno na Wanasiasa uchwara wanapotaka kuwafanya ngazi ya kwenda kula.