Kenya: Mgonjwa wa kwanza wa Corona afariki dunia

Kenya: Mgonjwa wa kwanza wa Corona afariki dunia

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
MGONJWA WA KWANZA WA CORONA AFARIKI KENYA

Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa wa virusi vya #Corona, mgonjwa huyo wa kiume alikuwa na umri wa miaka 66 na alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kisukari amefariki mchana wa leo katika Hospitali ya Agha Khan.

Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonwa aliyekuwa akiugua virusi vya corona.

Mwathiriwa huyo ambaye ni raia wa Kenya mwenye umri wa miaka 66 aliaga dunia nyakati za mchana katika chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya Agha Khan ambako alikua amelazwa.

Raia huyo ambaye alikua akiugua ugonjwa wa kisukari alikuwa amewasili nchini tarehe 13 mwezi Machi kutoka Afrika Kusini kupitia Swaziland.

Katika taarifa yake iliotiwa saini na waziri wa Afya Mutahi Kagwe, serikali ilisema kwamba ilipokea kwa huzuni habari za kifo cha Mkenya huyo ambaye alikuwa amekutwa na virusi hivyo baada ya kupimwa

FB_IMG_1585240418264.jpg
 
For sure this is sad news but what is irritating me is Tanzanians I dont them taking any stringent measures!! Mungu tusaidie
 
Jamani poleni sana wanafamilia na ndugu na jama. Mungu wetu wa mbinguni atuepushe na kikombe hichi cha Corona.
 
Aisee kwa hali ya huku kwetu watu tunatembea ila hatujijui wakati mwingine kama unakisukari.

Ukipata na corona basi taharuki tu inaweza ikakuondoa.

RIP jirani.
 
"Hakuna mtu anayetaka kukaa kwenye haya maofisi muda mrefu"

Wakati huohuo mpinzani wake aliyeonyesha nia ndani ya chama kamtimulia mbali huko.
 
Kenya imetangaza kifo cha kwanza cha mgonwa aliyekuwa akiugua virusi vya corona.

Mwathiriwa huyo ambaye ni raia wa Kenya mwenye umri wa miaka 66 aliaga dunia nyakati za mchana katika chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya Agha Khan ambako alikua amelazwa.

Raia huyo ambaye alikua akiugua ugonjwa wa kisukari alikuwa amewasili nchini tarehe 13 mwezi Machi kutoka Afrika Kusini kupitia Swaziland.

Katika taarifa yake iliotiwa saini na waziri wa Afya Mutahi Kagwe, serikali ilisema kwamba ilipokea kwa huzuni habari za kifo cha Mkenya huyo ambaye alikuwa amekutwa na virusi hivyo baada ya kupimwa.

=======

Kenya on Thursday evening recorded its first coronavirus death.



The 66-year-old male Kenyan citizen who passed on Thursday afternoon had been admitted at the Aga Khan Hospital Intensive Care Unit.



The man who was suffering from Diabetes had arrived in the country on March 13, 2020 from South Africa via Swaziland, according to the Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe.



“The man, who was suffering from diabetes, had arrived in the country on March 13 from South Africa via Swaziland," he said in a statement.



On Thursday, Kenya confirmed three more cases of coronavirus, raising the national tally to 31.



In a briefing, Health Chief Administrative Secretary Mercy Mwangangi said the latest cases are all Kenyans and close contacts of previous reported cases.



Dr Mwangangi said 906 persons have been traced and are being monitored and that 18 of them at the Mbagathi Hospital.



On Wednesday, Kenya stepped up its efforts against the coronavirus pandemic which has left more than 20,000 people dead worldwide.



President Uhuru Kenyatta unveiled double-edged measures giving the economy, businesses and consumers various percentages of tax relief.



At the same time, he took away the freedom to move at night with an indefinite 7pm to 5am curfew.



In his first economic stimulus package to shield the economy from the effects of the coronavirus pandemic, the President ordered the National Treasury to give employees earning less than Sh24,000 a 100 per cent tax relief.



Those earning more than this will pay a maximum of 25 per cent, down from the current 30 per cent.



PAY CUTS



In a presidential address on State interventions to cushion Kenyans against economic effects of the Covid-19 pandemic, he also announced pay cuts for the Executive.



He said his Deputy William Ruto and himself would take 80 per cent pay cuts, the highest reductions.



Cabinet secretaries and chief administrative secretaries will take 30 per cent cuts, while principal secretaries will have their salaries reduced by 20 per cent.

Kenya records first coronavirus death as cases rise to 31
 
Kuna ulazima gani kuandika kwa ugoko. Ukiandika kwa Kiswahili utapungukiwa nini?
tatizo ni lipi hapo, kama huelewi si ungesema tu utafsiriwe maana hapo amekosea kuandika neno moja tu basi umekuja kwa mihemko kama ambae umekanyagwa kidole.
tiga mehemehe
 
Inaonekana vifo vingi vya Corona vinawakumba wale ambao walikuwa na maradhi makubwa kabla, au wazee, hii inasababishwa na kinga za miili yao kuwa chini.


Sent using Jamii Forums mobile app

Tafuta usome vizuri kuhusu hiki kitu, hata wasiokua na matatizo mengine na vijana kabisa wanakufa, imewashangaza wataalam wameshindwa kuelewa pattern yake, pia kunao wanaopona ila wanabaki na matatizo makubwa ya kupumua, kinawaacha hoi kabisa hata baada ya kutoka. Ni janga la hatari hili.
 
Back
Top Bottom