Alpha Blondy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2018
- 304
- 440
haya Lufufu Mkandala fanya kutafsiri basitatizo ni lipi hapo, kama huelewi si ungesema tu utafsiriwe maana hapo amekosea kuandika neno moja tu basi umekuja kwa mihemko kama ambae umekanyagwa kidole.
tiga mehemehe
una maanisha nini hapo ?!!For sure this is sad news but what is irritating me is Tanzanians I dont them taking any stringent measures!! Mungu tusaidie
Unge tumia lugha mama ungeeleweka zaidi... i dont them taking![emoji849][emoji849][emoji849]For sure this is sad news but what is irritating me is Tanzanians I dont them taking any stringent measures!! Mungu tusaidie
komaa na saint kayumba.Kilaza anapomtetea kilaza mwenzake.
jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya
Acha ujinga wako wewe.komaa na saint kayumba.
zuzu!
Hahaha sasa utajuaje kama anaeandika kuchangia uzi anajua na Kingereza? Lazima aweke mstari wa English.Kuna ulazima gani kuandika kwa ugoko. Ukiandika kwa Kiswahili utapungukiwa nini?
Mku tema mate !!!!!!! Hili li Corona ni janga lingine usitanieKenya ya kwanza kila kitu. CORONA ya kwanza EA. Kifo cha kwanza EA. Mwadhirika wa kwanza EA. Kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, kazi kweli kweli.Hahaha sasa utajuaje kama anaeandika kuchangia uzi anajua na Kingereza? Lazima aweke mstari wa English.
hii ume-copy wapi??They pretend to speak English but they don't have an english mindset. They are worse than savages.
Why are you querying?hii ume-copy wapi??
sijawai ona nyani ikiandika Kiiengereza. nimeshangaa sanaWhy are you querying?
So you still believe to verbalize in English delineates one's quintessential intelligence? That's why I said you are worse than savages.sijawai ona nyani ikiandika Kiiengereza. nimeshangaa sana
Kwani akiandika kwa kimombo wewe shida yako nn? Kuna mahali tena umekosoa na wakakukosoa pia. Cha msingi changia chochote na sio kukosoa lugha.Kuna ulazima gani kuandika kwa ugoko. Ukiandika kwa Kiswahili utapungukiwa nini?
Hata kiswahili pia unamkosoa? Basi mna yenu mm sipo....So you still believe to verbalize in English delineates ones quintessential intelligence? That's why I said you are worse than savages.
Kiiengereza=Kiingereza.