Kenya: Mgonjwa wa kwanza wa Corona afariki dunia

Rip
 
Kama amekosea kwa nini nisimsahihishe?
Amekosea lugha ama ujumbe umekosewa na haueleweki? Iama ni lugha basi wengi wanakosea. Ila ujumbe unaeleweka. Lugha sio sababu kubwa sana tuijadili maana kwenye lugha hakuna aliekuwa perfect sana.
Mbona wewe umeandika kwa nini badala ya kwanini
 
Kiukweli lockdown...inaogopesha...maana ni mawili...

Tufe kwa njaa au tufe kwa CORONA.
Maskini tutaumia SANA...wale tuliozoea kupima unga nusu na robo...

Everyday is Saturday....................... 😎
nilidhani Tanzania chakula ki'tele, kumbe munahofia njaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…