Refer to what is happening in Italy, siku kikinuka, mutakufa kama kuku walioshikwa na kideri.Huku east afrika uganda kenya na ruanda wanakurupuka mno,hii ngoma si ya waafrika sijui huwa hawaangalii statistics?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamtisha nani hiyo mnayoita corona watu tunaumwaga toka primary school, sio kitu kipya bongo nyie endeleeni kuiga mabwana zenu tuu wakati uchumi wenu mlishafirisika siku nyingi...Mku tema mate !!!!!!! Hili li Corona ni janga lingine usitanie
me no understand.Why?
So what?me no understand.
I like that song by P!nk.So what?
Just continue, I won't deter you.I like that song by P!nk.
Ndio maana trump.anaogopa.sana huu ugonjwaInaonekana vifo vingi vya Corona vinawakumba wale ambao walikuwa na maradhi makubwa kabla, au wazee, hii inasababishwa na kinga za miili yao kuwa chini.
Sent using Jamii Forums mobile app