Kenya Middle class is fake.

Kenya Middle class is fake.

Lkn nijuavyo mimi Kenya ina middle class kubwa klk TZ yetu, yaani Wakenya weusi wanaoweza kumudu kutumia fedha nyingi ni wengi klk TZ yetu, mfano tu Utalii kuna Wakenya wengi weusi wanakuja kutalii TZ wakati wa Sikukuu hoteli zilijaa Wakenya weusi lkn ni ngumu kupata Watanzania wengi ambao wanaweza kujaza hoteli kama Watalii hata hapa hapa Bongo!

Hivyo Kenya bado ni tajiri klk TZ ingawaje pengo linazidi kupungua siku hadi siku!

BTW sijaiangalia hiyo video!
 
Lkn nijuavyo mimi Kenya ina middle class kubwa klk TZ yetu, yaani Wakenya weusi wanaoweza kumudu kutumia fedha nyingi ni wengi klk TZ yetu, mfano tu Utalii kuna Wakenya wengi weusi wanakuja kutalii TZ wakati wa Sikukuu hoteli zilijaa Wakenya weusi lkn ni ngumu kupata Watanzania wengi ambao wanaweza kujaza hoteli kama Watalii hata hapa hapa Bongo!

Hivyo Kenya bado ni tajiri klk TZ ingawaje pengo linazidi kupungua siku hadi siku!

BTW sijaiangalia hiyo video!
Angalia hiyo video utapata majibu, hawa jamaa ni watu wa kujikweza sana, mkenya hata kama hana kitu, lakini atakopa au hata kuwauwa jamaa zake ili aishi maisha ya juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom