N Namtih58 JF-Expert Member Joined Oct 23, 2007 Posts 234 Reaction score 46 Jan 30, 2009 #1 Wabungu wa kenya wamepinga kupitizwa kuundwa tribunal ya kuchunguza wahusika kwenye ghasia zilizotokea wakati wa uchaguzi mwaka jana. Sasa sijui kama Koffi Annan ata peleka mashtaka ICC huko Hague ama vipi. Kwangu mimi afadhali wapelekwe Hague sababu afrika tuna tabia ya kufagilia mvunguni kesi nyingi. Someni Hapa ama hapa
Wabungu wa kenya wamepinga kupitizwa kuundwa tribunal ya kuchunguza wahusika kwenye ghasia zilizotokea wakati wa uchaguzi mwaka jana. Sasa sijui kama Koffi Annan ata peleka mashtaka ICC huko Hague ama vipi. Kwangu mimi afadhali wapelekwe Hague sababu afrika tuna tabia ya kufagilia mvunguni kesi nyingi. Someni Hapa ama hapa