Kwa nini unaomba msamaha? kwani wewe ndio uliwatuma kuandika waliyo yaandika kwenye magazeti yao? Unaomba msamaha wa nini! Mimi sioni kosa kwako. Wao wamtukane mwandishi wao na si wewe. Ninaona wamekosa adabu kukutukana wewe. Gazeti waandike wao na kukutukana wakutukane wao kwani wao ni miungu watu hata waogopwe? kama ni miungu ni miungu kwao huko kenya, na kama wanatishana watishane kwao huko. Na si kumtisha mtu wa TZ; Nikilejea habari ulioinakiri kutoka kwenye magazeti ya wakenya kama ifuatavyo hapa chini:
THIS IS AN EXTRACT FROM STANDARD DIGITAL NEWS TITLED "TANZANIA WOULD RATHER BE IN SOUTHERN AFRICA, IT SEEMS". LINK IS:
Standard Digital News - Kenya : Tanzania would rather be in Southern Africa, it seems
PARDON ME IF THIS WAS WRONGLY INTERPRETED.
As if expelling Banyarwanda was not enough,
Tanzania has been in focus the last few months for some decidedly anti-integrationist statements and actions.
When Dar is not slapping arbitrary charges on other
East African Community citizens for daring to step onto its territory, it is behaving like a jealous regional sibling bent on making life as difficult as possible for everyone else.
When the
Jomo Kenyatta International Airport caught fire recently, all regional airports chipped in to help with passenger traffic except, officials claim, for
Tanzania's airports, which were immediately closed to Kenyan traffic.
When Kenya had a big food shortage two years ago,
Tanzania immediately banned maize sales to Kenya, citing its own food insecurity. A week later, Dar sold the maize to Uganda. And last year, Kenya expressed interest in buying any excess natural gas from
Tanzania's vast Songo Songo fields.
Dalliance
The
Tanzanian response was curt: The gas is for domestic consumption only and is not for sale. This sounded like a good domestic policy until
Tanzania went ahead and sold the gas to the Chinese.
The pattern that emerges is one of
Tanzania walling itself away from the rest of the region, perhaps informed by its dalliance with the
Southern African Development Community, a South-Africa-run group that rivals the
East African Community, for Dar's attentions.
Amusingly,
Tanzania, like Kenya and the rest of the EAC,
is desperately poor. In fact, slightly
worse. One would have imagined that opening up its borders to investment and skills from across the region, like Kagame's Rwanda has done, would be a no-brainer.
But when Kenyan tour agents began selling Mt Kilimanjaro trips to Europeans, who first sunbathe in Kenya before going to
Tanzania,
Tanzanians asked Kenyan tour agents to stop using photos of "its" Mt Kilimanjaro on their brochures!"
Sijaliona kosa lako hapa.
Kuomba misamaha bira sababu kunawafanya wavimbe vichwa wakidhani wao wanajua sana. Na pengine wanaogopwa kumbe siyo. La msingi wamtafute huyo mkenya mwenzao aliyeandika hiyo mada gazetini na wamwambie aiombe radhi Tanzania na si kuleta ujeuli hapa ndani.