Kenya: Most innovative country in East Africa

Ingawaje siamini hilo lkn hata kama ni kweli kuna ubaya gani kwenye hilo? Au ulitaka TZ yetu tu adopt Kibera?

Siku mtaacha kutumia Kenya kama kipimio chenu ndio mtafaulu kuondoka nje ya ramani za ushithole
 
Siku mtaacha kutumia Kenya kama kipimio chenu ndio mtafaulu kuondoka nje ya ramani za ushithole


Kwa hiyo Kenya siyo ,,shithole" country kwa mujibu wa D.Trump? Acha kujidanganya wewe!
 
Siku mtaacha kutumia Kenya kama kipimio chenu ndio mtafaulu kuondoka nje ya ramani za ushithole

hatuna cha kujifunza toka kwa sold country. ahaaa haaa haaa tuna nchi ambazo tunaziwazia usiku na mchana kama tunaweza kuzifikia japo HATA nusu.
 
hatuna cha kujifunza toka kwa sold country. ahaaa haaa haaa tuna nchi ambazo tunaziwazia usiku na mchana kama tunaweza kuzifikia japo HATA nusu.

Tatizo mnawaza Kenya kila siku, Kenya hiki Kenya kile. Tutaipita Kenya ndio kauli mbiu ya kila Mtanzania, mtachoka sana kwa kweli maana siri ya kuipita Kenya ipo kwenye uchapa kazi wa kweli bila maigizo na kuwacha mdebwedo, kitu ambacho ni mwiko kwa Mtanzania.
 

ahaaa haaa haaa..
WHAT do you have to make us feel being LIKE YOU.
 
Hizo innovations zinatakiwa muzi concentrate kwenye kuwa na food security other than mere proud ideas
 
Hizo innovations zinatakiwa muzi concentrate kwenye kuwa na food security other than mere proud ideas
Mbona inawauma sana kwamba hatuko food secure. Hii sio shida ya Tanzania. Nadhani hio ni shida yetu kama Kenya. Sikujua mnatupenda kiasi hiki ndio maana hamtaki tufe njaa. Asanteni ndugu zetu kwa kutujali
 
Hizo innovations zinatakiwa muzi concentrate kwenye kuwa na food security other than mere proud ideas
Innovation zenu watz mmezitumia kufanya nini cha maana? Au ndo yale ya kupimana mkojo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…