Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
View attachment 370339
James Kahara Ndung'u, kutoka eneo la Murang'a nchini kenya alimuua nyoka aina ya cobra barabarani na kutokea hapo amekuwa akijutia tukio hilo kutokana na masaibu yanayomkumba.
Anasema kwamba yeye huwaona paka wengi na vilevile kuteleza chini na kuanza kutambaa, kando na kutoa kama ile ya nyoka (hisses).
Familia yake inaomba usaidizi wa maombi kutoka kwa wahubiri wa injili ili James Kahara arejee hali yake ya kawaida.
Source:Citizen Digital.
James Kahara Ndung'u, kutoka eneo la Murang'a nchini kenya alimuua nyoka aina ya cobra barabarani na kutokea hapo amekuwa akijutia tukio hilo kutokana na masaibu yanayomkumba.
Anasema kwamba yeye huwaona paka wengi na vilevile kuteleza chini na kuanza kutambaa, kando na kutoa kama ile ya nyoka (hisses).
Familia yake inaomba usaidizi wa maombi kutoka kwa wahubiri wa injili ili James Kahara arejee hali yake ya kawaida.
Source:Citizen Digital.