KENYA: Mwanasiasa Miguna Miguna awasili na kuzuiwa katika Uwanja wa Jumo Kenyatta kuhusu hati yake ya Kusafiria

KENYA: Mwanasiasa Miguna Miguna awasili na kuzuiwa katika Uwanja wa Jumo Kenyatta kuhusu hati yake ya Kusafiria

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Mwanasiasa wa Upinzani na Wakili mzaliwa wa Kenya Miguna Miguna ambaye alilazimishwa kwenda uhamishoni nchini Canada mwezi Februari mwaka huu, anatarajiwa kuwasili nchini Kenya leo Machi 26, 2018, huku kukiwa na wasiwasi kwamba huenda asiruhusiwe na Serikali ya Kenya kuingia nchini.

Katika taarifa aliyoituma kwa Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika siku ya Jumapili akiwa mjini London Uingereza, Miguna Miguna alisema kuwa ataingia Kenya bila pasipoti au viza kumruhusu kufanya hivyo.

"Ndege yetu itatua Nairobi Jumatatu (leo) saa nane na dakika kumi na tano alasiri", alisema Miguna.

Wakati wa kuchapisha ripoti hii, Serikali ya Kenya haikuwa imetekeleza maagizo ya mahakama kuu, kuitaka imrejeshee hati yake ya kusafiria.

Miguna ambaye amejitangaza kuwa kiongozi wa vuguvugu la National Resistance Movement NRM, amekuwa akiishi uhamishoni tangu maafisa wa polisi walipomlazimisha kuabiri ndege katika uwanja wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta mjini Nairobi mapema mwezi Februari, kwa madai kwamba yeye si raia wa Kenya.

IMG_20180326_073616_498.jpg


UPDATES:
Self-styled National Resistance Movement Kenya (NRM-K) General Miguna Miguna has arrived back into the country after a seven-week-long hiatus following his deportation to Canada.

Confirming the arrival of Miguna, his lawyer Cliff Ombeta said the firebrand political activist had been asked to surrender his Canadian passport at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA), to which they declined.

Miguna is currently being held at the airport’s immigration offices over issues concerning his passport.

The lawyer-cum-politician was deported to Canada on Tuesday, February 6, days after he was arrested over the controversial swearing in of Raila Odinga as the ‘People’s President.

Miguna’s return comes exactly a month after the High Court in Nairobi directed the government to issue him with a travel document to enable him re-entry into Kenya pending the hearing and determination of a case he filed challenging his deportation.

Justice Chacha Mwita on February 26 ruled that should the government fail to issue Miguna with a travel document, then the self-declared NRM general should be at liberty to use his Canadian passport to regain entry into Kenya.
 
Anawasili huku Rais Kenyatta akiwa amemalizana na Odinga. Jamaa anajua kucheza na Upinzani.
 
Huyu jamaa kiaina napendezwa na ujasiri wake, kwanza alivyotolewa nyumbani kwake kwa mabomu na kuzungushwa zungushwa hatimaye kutimuliwa nje ya nchi, na sasa hivi anarudi Kenya tena akiendelea kufoka na kutukana serikali bila kuachia, hehehe!! Yaani dah, sijui kama kuna mwanasiasa Afrika yote anayeweza kuwa mjasiri kihivyo.

Vipi Watanzania yule Mange Kimambi wenu anaweza kudiriki kurudi Tanzania huku akiendelea kuongelea mabaya ya serikali na JPM. Nategemea mtampokea kwa mtutu wa bunduki, anyway huyu Miguna pamoja na kwamba sipendezwi na siasa zake maana sijawahi kumskia akiongea chochote chenye mashiko, lakini ujasiri wake unavutia na tukiwa na wengi wenye ujasiri wa kihivyo, aise haitokuja siku nchi itetereke. Huyu nadhani hata Raila ameanza kumuogopa.

Jubilee wenyewe wamempa jamaa umaarufu, kumpiga mabomu kwake na kumsweka ndani na kumtimua nje ya nchi yote hayo yamempa umaarufu. Nimesoma sehemu kwamba alishikiliwa kwa muda na maafisa usalama wa Uingereza, yaani jamaa anazidi kugonga vichwa vya habari vya kimataifa.
 
Vipi Watanzania yule Mange Kimambi wenu anaweza kudiriki kurudi Tanzania huku akiendelea kuongelea mabaya ya serikali na JPM. Nategemea mtampokea kwa mtutu wa bunduki, anyway huyu Miguna pamoja na kwamba sipendezwi

Ataishia kwenye Viroba vya unga.
 
Huyu jamaa kiaina napendezwa na ujasiri wake, kwanza alivyotolewa nyumbani kwake kwa mabomu na kuzungushwa zungushwa hatimaye kutimuliwa nje ya nchi, na sasa hivi anarudi Kenya tena akiendelea kufoka na kutukana serikali bila kuachia, hehehe!! Yaani dah, sijui kama kuna mwanasiasa Afrika yote anayeweza kuwa mjasiri kihivyo.

Vipi Watanzania yule Mange Kimambi wenu anaweza kudiriki kurudi Tanzania huku akiendelea kuongelea mabaya ya serikali na JPM. Nategemea mtampokea kwa mtutu wa bunduki, anyway huyu Miguna pamoja na kwamba sipendezwi na siasa zake maana sijawahi kumskia akiongea chochote chenye mashiko, lakini ujasiri wake unavutia na tukiwa na wengi wenye ujasiri wa kihivyo, aise haitokuja siku nchi itetereke. Huyu nadhani hata Raila ameanza kumuogopa.

Yamkini hujatofautiana nami kwenye comment hapo # 5 Jamaa ana msimamo wa hali ya juu.
 
Huyu jamaa kiaina napendezwa na ujasiri wake, kwanza alivyotolewa nyumbani kwake kwa mabomu na kuzungushwa zungushwa hatimaye kutimuliwa nje ya nchi, na sasa hivi anarudi Kenya tena akiendelea kufoka na kutukana serikali bila kuachia, hehehe!! Yaani dah, sijui kama kuna mwanasiasa Afrika yote anayeweza kuwa mjasiri kihivyo.

Vipi Watanzania yule Mange Kimambi wenu anaweza kudiriki kurudi Tanzania huku akiendelea kuongelea mabaya ya serikali na JPM. Nategemea mtampokea kwa mtutu wa bunduki, anyway huyu Miguna pamoja na kwamba sipendezwi na siasa zake maana sijawahi kumskia akiongea chochote chenye mashiko, lakini ujasiri wake unavutia na tukiwa na wengi wenye ujasiri wa kihivyo, aise haitokuja siku nchi itetereke. Huyu nadhani hata Raila ameanza kumuogopa.

Jubilee wenyewe wamempa jamaa umaarufu, kumpiga mabomu kwake na kumsweka ndani na kumtimua nje ya nchi yote hayo yamempa umaarufu. Nimesoma sehemu kwamba alishikiliwa kwa muda na maafisa usalama wa Uingereza, yaani jamaa anazidi kugonga vichwa vya habari vya kimataifa.
hajamfikia Tundu Lissu! ingawaje wote ni best lawyers na ni vocal against government yani Miguna angekuwa Tanzania umjumlishe na Lissu kazi kwisha.
 
hajamfikia Tundu Lissu! ingawaje wote ni best lawyers na ni vocal against government yani Miguna angekuwa Tanzania umjumlishe na Lissu kazi kwisha.

Dah ila Tundu Lissu naye moto, maana baada ya kupoea kifo, marisasi 38 na bado anasema sema na kuongelea vibaya dhidi ya serikali. Niltegemea ataufyata kama yule alikua anaitwa doctor Ulimboka, yaani jamaa bado anaita wana habari na kusema sema.

Hizi siasa zina wenyewe, maana mimi ujasiri wa kihivyo sina, na siwezi kuthubutu.
 
Back
Top Bottom