KENYA: Mwanaume mmoja auawa baada ya kushindwa kulipa Ksh. 10 ya Mtura

KENYA: Mwanaume mmoja auawa baada ya kushindwa kulipa Ksh. 10 ya Mtura

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mtura.jpg


Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Samuel Mwaniki Njega(36) ameuliwa mchana wa leo kwa kushindwa kulipa Ksh. 10 kwa ajili ya Mtura

Taarifa zinasema Njenga alienda kwenye kibanda chake cha siku zote kilichopo Waithaka, Kusini mwa Dagoretti ambapo huwa anakula mtura na viazi na jumla ya bei huwa Ksh. 60

Wakati akitaka kulipa Njenga alijikuta ana Ksh. 50 na kumuomba muuzaji kwamba atampelekea hela yake iliyobaki(Ksh. 10) baadae

Muuzaji hakumuelewa na kukubaliana na Njenga hivyo alichukua kisu na Kumchoma kufuani maeneo ya moyo

Mshtakiwa alikimbia baada ya tukio hilo lakini baadae alienda mwenyewe kituo cha polisi kujisalimisha
==============

A 36-year-old man was on Tuesday afternoon stabbed to death after failing to pay Ksh.10 for mutura in Nairobi.

Samuel Mwaniki Njenga is reported to have gone to his usual boerewors (mutura) vendor in Waithaka, Dagoretti South where he ate Mutura and a potato; all amounting to Ksh.60.

On dipping his hand into his pockets to pay, Mwaniki reportedly realised he had only Ksh.50 hence he requested the vendor to allow him bring the Ksh.10 later on.

The unidentified mutura vendor could, however, have none of it. He grabbed a knife and stabbed Mwaniki in the heart.

As the deceased fell to the ground and a crowd began to gather, the vendor fled only to later surrender himself to the area Chief’s office from where he was arrested.

Mwaniki was rushed to a nearby hospital where he was pronounced dead after an hour.

His body has been transferred to Kikuyu mortuary.
 
Wakenya wako rude sana......cjui wanalishwa nyama ya mbwa wanapozaliwaaaaa????[emoji856]
mi ninavyofaham, wakenya wengi hawapendi unyonge au kuonekana mnyonge, hata kama ni maskini. akiona unataka kumuonea basi yupo tayari kwa lolote.
Angaalia hata taarifa za kenya, hata siku moja hutoskia wakitaja kundi la watu fulani kua wanyonge, hilo neno ni kama mwiko huko kenya. tofauti sana na hapa kwetu, hata rais ni rais wa wanyonge!
ukiangalia hata siasa zao, watu wanashuhudia polisi wanavyowaua waandamanaji lakini kesho yake watu walewale wanarudi palepale! yani wanakufa wengine lakini siku inayofata, wapo!
 
mi ninavyofaham, wakenya wengi hawapendi unyonge au kuonekana mnyonge, hata kama ni maskini. akiona unataka kumuonea basi yupo tayari kwa lolote.
Angaalia hata taarifa za kenya, hata siku moja hutoskia wakitaja kundi la watu fulani kua wanyonge, hilo neno ni kama mwiko huko kenya. tofauti sana na hapa kwetu, hata rais ni rais wa wanyonge!
ukiangalia hata siasa zao, watu wanashuhudia polisi wanavyowaua waandamanaji lakini kesho yake watu walewale wanarudi palepale! yani wanakufa wengine lakini siku inayofata, wapo!
Mmmhh bs hyo dhana yao wanaitumia katika mlengo negative sana aisee.....haikutakiwa itumike kama go ahead ya kuuana hata pasipo ulazima bhana....
 
Mmmhh bs hyo dhana yao wanaitumia katika mlengo negative sana aisee.....haikutakiwa itumike kama go ahead ya kuuana hata pasipo ulazima bhana....
kweli kabisa.... ubinadam unawatoka taratibu, baada ya miaka mingine 50 tutakua na wanyama tu upande wa pili!
 
Mtura ndo nini
Inaitwa Mtush kwa sheng za kina Jaramogi Odinga. 😀 African sausage. Aliyemdunga mwenzake kisu naye ni kilaza. Ila huku Kenya mtu yeyote ule akihisi unaleta mzaha kwenye biashara yake mara nyingi huwa inakuwaga stori.
 
kumbe kenya maisha rahisi hvo yaani hata Dola moja haijafika hiyo kitu @ nairobi is very cheap @ unlke bongo kule chakula kwanzia 2 dollars @ good for kenya
 
Back
Top Bottom