Duuuh. Leo MK254 atajinyonga kwa uchungu!Natumaini umeshajua how strong tz is.hakuna nchi yoyote mashariki,kusini na katikati ya afrika itatuambia kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Papi Chulo,
Hehehe!! Mbona sasa tunazungumza lugha moja.
- Tusaidiane kuhakikisha waathirika wa Tanzania hawaji Kenya au hawaendi kwenye nchi yoyote majirani zenu.
- Na sisi hatutawaumbua kwenye hilo la kujiaminisha hakuna corona kwenu
Tukiendelea hivyo tutakua majirani wema, na mataifa yaliyokua yanawatenga kule SADC na huku EAC watatumia hii formulae kuendana nanyi vizuri tena kwa amani na upendo.
Usichokielewa hakuna Mdanganyika atatia mguu Kenya bila sisi kumpima. Kirusi chenu mbaki nacho huko.
Halafu hii kauli naona ndio mumeaminishwa maana uzi wote huu umejaa comments za Watanzania wote wakirudia rudia hii kauli ya cheti, yaani mnajidanganya karatasi yaani cheti itawasaidia na kuruhusu kutuambukiza, soma tena taarifa vizuri uzielewe, zimesema kutakua na kitu kinaitwa random tests, bado tutawapima, ila kwa vile hamtaki kuumbuka kwa kutangazwa, tutakua tunawarudisha kimya kimya na kuwapokeza muambukizane huko.
Jamaa alikua mwanadiplomasia.....
Mwisho wa siku mapato wanayopata kwa kuuza malighafi Kenya yakipungua wataanza kulaumiana humo ndani wenyewe kwa wenyewe.
Kwa hivyo lazima kwa namna moja au nyingine tuhusiane.
Cha msing tuhakikishiane kila mmoja na maslahi yake
- Sisi ili kuhakikisha hawatuambukizi kirusi, lazima tupime kila dereva wao
- Lakini ili kuwahakikishia usiri wao, hatutatangaza tuliyemgundua na kirusi ni raia wa wapi.
Main point is testing would be done using stipulated WHO procedure. Further to that , there would be centers where Truck Drivers would rest and from there randam sample for testing could taken. Postive one's would not be allowed to continue with safari. All in all its not who won rather people of EAC will serveced with safe hands