Nikama vile unataka kwenda kusomea KhartoumSijakuelewa.
Uki-rephrase itakuwa poa.
Buda boss, apana leta hiyo hapa. But thanks for the explanation.Nikama vile unataka kwenda kusomea Khartoum
Mikataba gani iyo mkuu unaweza elezea aisee.Buda boss, apana leta hiyo hapa. But thanks for the explanation.
divisiblebyzero , kuna mikataba kadhaa zilizokubaliwa na nchi za EAC. Inalingana na kazi unayoifanya.
Siifanyi serikali kazi, lakini najua kuwa wafanyikazi hao huwa wana uhuru wa kufanya kazi kwenye county yoyote ile wanayotaka.Iko ivi nataka nijue kama kenya wafanyakazi kama walimu na wauguzi serikali inatoa barua ya uhamisho kwa wafanyakazi kubadilishana vituo vya kazi.
Zimekuwa kwa habari mara nyingi. Siwezi kumbuka articles zote nilizosoma. Lakini angalia kwenye East African Standard, na kwenye website ya EAC - East African Community | One People, One DestinyMikataba gani iyo mkuu unaweza elezea aisee.