Kenya na ulaji wa punda

Joasi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
766
Reaction score
674
Habarini
Kama ulaji wa nyama ya punda utaendelea kama ilivyo sasa nchini Kenya, baada ya miaka minne hakutakuwa na punda yoyote nchini humo. Kwa mujibu wa utafiti wa Africa Network for Animal Welfare (ANAW), jumla ya punda 1000 wanaliwa kwa siku nchini humo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…