Kenya na vituko. Nchi ya ucheshi

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Kenya ni nchi ambayo kila siku kuna jambo la maajabu au la ucheshi linafanyika. Huyu kaka naye kajishonea suti ambalo trouser linafika kwenye makwapa.😁😁😁


 
Atakuwa ana asili ya kisukuma huyu. Hii ndio fani ambayo huwa wamebobea.
 
Ucheshi !! Sema Kenya ndo nchi pekee duniani yenye wendawazimu wengi , sasa hayo unaona ya uzima huyo mtu mwenyewe tu unamuona jinsi alivyo hamnazo
Kenya ni nchi ambayo kila siku kuna jambo la maajabu au la ucheshi linafanyika. Huyu kaka naye kajishonea suti ambalo trouser linafika kwenye makwapa.[emoji16][emoji16][emoji16]


 
Ucheshi !! Sema Kenya ndo nchi pekee duniani yenye wendawazimu wengi , sasa hayo unaona ya uzima huyo mtu mwenyewe tu unamuona jinsi alivyo hamnazo
Wewe pengine una stress zako za kunyimwa ile kitu na mke wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…