GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa takwimu zilizotajwa ni kwamba kwa Kenya Wanawake 706 hufa kwa Kipigo kutoka kwa Wenza wao huku kwa Tanzania ni 53 tu.Tunashukuru Jamii Zinaendelea Kuelimika Matukio Ya Kikatili Kwa Kiasi Chake Yanapungua Si Kama Miaka Ya 2000's Kurudi Nyuma.
Wanawake 703 hufa kila mwaka nchini Kenya kutokana na Kupigwa na Wenza Wao wakati Tanzania ni Wanawake 53 tu.Last week kuna dada amechinjwa kwenye airbnb huko Nairobi (Roysambu)wakenya ni watu hatari sana
Huyo dada slayqeen mitamaa yake imemponzaLast week kuna dada amechinjwa kwenye airbnb huko Nairobi (Roysambu)wakenya ni watu hatari sana
53 tu, hivi tunatakiwa tuwe hata na mmoja?Kwa takwimu zilizotajwa ni kwamba kwa Kenya Wanawake 706 hufa kwa Kipigo kutoka kwa Wenza wao huku kwa Tanzania ni 53 tu.
Kauli ya CDF uliisikia? Eti nawe unajiita mtzPiteni huko BBC Swahili mkaisome au baadae Saa 2 na dakika 45 fuatilieni marudio ya ufupi ya Kipindi cha Dira ya Dunia muisikilize.
Kuanzia sasa ukisikia Dada yako ana Mchumba au Mume au anakaribia Kuolewa na Mwanaume wa Kenya Kwanza mpe Pole kisha muulize Akifa kwa Kipigo Kitakatifu cha Mpenziwe huyo Mkenya angependa azikwe mjini au kijijini?
Oleweni nasi wa Kitanzania ( Watanzania wenzenu ) hapa hapa nchini Tanzania kwani Sisi wala hatupigi Kikatili na hatuui kama Wanaume wa Kenya kwa Kuchiti hatuna Mpinzani dunia nzima.
AirBnB ni guest au apartment? Maana naskia tu hata sielewiLast week kuna dada amechinjwa kwenye airbnb huko Nairobi (Roysambu)wakenya ni watu hatari sana
Mademu wa kenya tamaa mbele,jamaa aliyemuua ni MnaigeriaHuyo dada slayqeen mitamaa yake imemponza
Ova