The funny thing is that wanauliza kama hiyo advert iko Tanzania when Dar es salaam is well mentioned! π πWacha upuuzi. Hii advert imewahi kupostiwa humu mara nyingi sana na ni advert kutoka lazyland republic. Nadhani Mk254 amewahi kulizungumzia hili jambo. MK254 ona huyu jamaa anapinga kwamba ile advert inayotafuta walimu waliosomea Kenya sio advert kutoka TZ
unaamuaga kiwa mpuuzi tu,hata sijui kwanini!!!Kwa hivyo mtu kuhitimu ualimu Bongo Nora to ajue kiingereza basi?! [emoji23] [emoji23]. Stop looking for excuses. That employer is specifically interested in Tanzanians who schooled in Kenya and there's nowhere he/she has mentioned that the applicant must be English-profficient. He just wants those who went to college in Kenya. Period
Must that place be Dar for it to be Tanzania? That advert might be in Sirare border, Mbeya or Shinyanga but shule inayotaka waalimu waliosomea Kenya ipo Dar. Is that too difficult to comprehend?Kwa hiyo ikipostiwa mara, then it's already justified it comes from the credible source.
Jibu swali: umejuaje kama hapo ni Dar?
Sijui, Labda utujuzeunaamuaga kiwa mpuuzi tu,hata sijui kwanini!!!
unazijua shule ngapi za maana tz zina waalimu kutoka kenya kwa vigezo vyako!!!!
Sasa imekuwa cooked and doctored! π π π I like how you are consoling yourself. And which data are you talking about by the way?Wee bwana mdogo hujui tu.
Cooking and doctoring data is very serious offence.
Must that place be Dar for it to be Tanzania? That advert might be in Sirare border, Mbeya or Shinyanga but shule inayotaka waalimu waliosomea Kenya ipo Dar. Is that too difficult to comprehend?
Kenya hiyoKwa nini watanzania tunawasakama sana Wakenya na wao hawana time na sisi?. Je hii itatufanya tusahai changamoto zetu na kuwakumbusha zao iliwazofanyie kazi?
Angalia shule zetu
Kwa hivyo hiyo advert iko Kenya π π π is that your point? Tutaendelea kuwapa walimu waliohitimu kadri mnavyotaka. We are at your service πBado umri wako ni mdogo. Ukikua utaelewa tu.
Kwa hiyo ukiwa London, ukaona mkahawa umeandikwa Zanzibar, utaanza kusema huu mkahawa uko Zanzibar.
Anyways, ngoja nisiendelee kupoteza nguvu na muda wangu.
π€£π€£π€£
Kwa hivyo hiyo advert iko Kenya π π π is that your point? Tutaendelea kuwapa walimu waliohitimu kadri mnavyotaka. We are at your service π
sasa unaanzaje kubishana na mimi!!!!Sijui, Labda utujuze
Wewe acha tu nikupuuze, hauna hojasasa unaanzaje kubishana na mimi!!!!
Wacha upuuzi. Hii advert imewahi kupostiwa humu mara nyingi sana na ni advert kutoka lazyland republic. Nadhani Mk254 amewahi kulizungumzia hili jambo. MK254 ona huyu jamaa anapinga kwamba ile advert inayotafuta walimu waliosomea Kenya sio advert kutoka TZ
unataka hoja kwa akili zipi uko nazo[emoji38][emoji38].Wewe acha tu nikupuuze, hauna hoja
anatafutwa mtu,kwani si wengi huja kusoma huko wako wapi???[emoji38][emoji38][emoji38]Mbona tutumie mate kuandika ilhali wino ipo, hawa malazy wasikupe tabu tunawafahamu sana, wale wamesomea Kenya huwa nafuu sio kama hao wa huko....cheki hii hapa
View attachment 1668832a
anatafutwa mtu,kwani si wengi huja kusoma huko wako wapi???[emoji38][emoji38][emoji38]
Ukweli inawatesa sana π π π , licha ya changamoto zetu we remain on top of you forever, TZni aibu tupu EAC! mnatuaibisha sana!!Miaka ipi hili tangazo.
Are sure that advert is in Dar?
Washakataa hiyo picha kitaambo na kusema haipo Tanzania. Mwingine kanichekesha aliposema ni doctored "data" Tunadeal na mazuzu wengi hapa ndaniMbona tutumie mate kuandika ilhali wino ipo, hawa malazy wasikupe tabu tunawafahamu sana, wale wamesomea Kenya huwa nafuu sio kama hao wa huko....cheki hii hapa
View attachment 1668832a
ndio sababu mlitaka kuwa mnajazana huku mpewe hata ualimu wa nursery[emoji23][emoji23].Wakija huko hutema yai na kupokelewa kwenye kila kampuni sio kama mazezeta wa Buza mlioganda huko na ze ze ze
na tutawaaibisha zaidi,si unajua sisi ndio tunaamua hatima ya EA countries[emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli inawatesa sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] , licha ya changamoto zetu we remain on top of you forever, TZni aibu tupu EAC! mnatuaibisha sana!!
Tembea Tanzania wewe, kumbe naweza kua naifahamu nchi yako kukuliko! Tz iko na poor conditions kwa wingi, propaganda ya CCM imebana ukweli kwa wingi, fanya utafiti, ndio maana mnatajwa masikini wa kutupwa wa tatu kwa kigezo cha below $0.90 Africa yote, si utani, ni facts! |Wachana na Kenya, jiangalieni kwanza.Kenya hiyo
Sio bongo mzee...πππ