Kenya ni mfano wa kuigwa kwenye Demokrasia

Kenya ni mfano wa kuigwa kwenye Demokrasia

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kenya imekuwa mfano mzuri wa kuigwa kwasababu kila uchaguzi wanafanya vizuri zaidi. Ukweli ni kwamba pamoja na matatizo yao wanapiga hatua mbele kwenye demokrasia wakati nchi jirani karibu zote ziko palepale. Juzi walisema mimi ni Mwigulu kwasababu ya kumtetea Mama Samia kwenye tozo. Leo nakubaliana na Lema kwenye hili sijui nitaitwa nani leo?!

 
Ni kama wametuvua nguo
Mambo waliyoyafanya ukiwa unamtolea mfano mtu wa kunyooka kwao kidemokrasia atakaepinga basi huyo ameshindikana. Na mfano sio wa mbali eti South Africa au Botswana

Heshima za viongozi wetu ambao walikuwa vinara wa Siasa za Waafrika ziko wapi

Hawakutuachia katiba nzuri na walikijua udhaifu wa katiba yetu.

Walituhinikiza tuingie kwenye mfumo wa Vyama vingi kabla ya kubadilisha katiba, walitutia mtegoni => tukafunga ndoa kwanza, uchumba tutafanya tukishaowana

Wakaanzisha CCM B za kumwaga, mpaka leo ni vigumu kutenganisha pumba na mchele

Lakini yote hayo kwa faida ya nani ?
 
Ni kama wametuvua nguo
Mambo waliyoyafanya ukiwa unamtolea mfano mtu wa kunyooka kwao kidemokrasia atakaepinga basi huyo ameshindikana. Na mfano sio wa mbali eti South Africa au Botswana

Heshima za viongozi wetu ambao walikuwa vinara wa Siasa za Waafrika ziko wapi

Hawakutuachia katiba nzuri na walikijua udhaifu wa katiba yetu.

Walituhinikiza tuingie kwenye mfumo wa Vyama vingi kabla ya kubadilisha katiba, walitutia mtegoni => tukafunga ndoa kwanza, uchumba tutafanya tukishaowana

Wakaanzisha CCM B za kumwaga, mpaka leo ni vigumu kutenganisha pumba na mchele

Lakini yote hayo kwa faida ya nani ?
Maybe walikuwa na hopes kwamba kizazi kijacho kikisha elimika kitaweza kubadili katiba kwa manufaa ya nchi
 
Back
Top Bottom