Kenya ni poor country hata bure siendi

Tembea uone,
Tanzania sio kenya ambayo kuna matabaka kuna sehemu za matajiri na masikini [emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe unaishi wapi kwenye mojawapo wa haya maeneo

 
Siku nifike ujifunze kujibu(quote).
Halafu 500 USD ni hela ndogo Sana .
Inashangaza mlivyo na uwezo mdogo wa kununua(purchasing power).
Muache kujilinganisha na Kenya.
Mnajiaibisha mbele ya kadamnasi.
 
Siku nifike ujifunze kujibu(quote).
Halafu 500 USD ni hela ndogo Sana .
Inashangaza mlivyo na uwezo mdogo wa kununua(purchasing power).
Muache kujilinganisha na Kenya.
Mnajiaibisha mbele ya kadamnasi.
Usimlaumu, hiyo $500 ni KES 50,000 tu ila kwa hela ya madafu tzshs ni 1,150,000! Akiwaza zaidi ya hapo ataanza kupiga hesabu za kununua wheelbarrow ya kusafirisha hela.
 
Umeaumia baba..kwanza we yaonyesha ndio unaishi kw bedseater..yani nitoke kwetu pazuri niende nikaishi kw bedseater mm...hata km ni ku hustle hapana...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
unaidharau wakati bedseater unalipia 20k,ngombe ya nyama wewe.
 
Vipi maelfu ya albino mnaowachinja kila mwaka na kula nyama zao...
Hiyo ni small case kwako wewe kuichukulia advantage ya kuja kuprove against us angalia mambo ya kiuchumi ndo uzungumze
 
Hiyo ni small case kwako wewe kuichukulia advantage ya kuja kuprove against us angalia mambo ya kiuchumi ndo uzungumze

Dah kuwachinja albino ni small case, kweli mumepinda, ndio maana mumelaniwa umaskini pamoja na nchi kuwa na raslimali nyingi, kula michemsho ya albino itawaponza sana hadi siku mtaacha.
 
kwenye huu uzi unaifananisha na nchi gani hasa?
 
Umeaumia baba..kwanza we yaonyesha ndio unaishi kw bedseater..yani nitoke kwetu pazuri niende nikaishi kw bedseater mm...hata km ni ku hustle hapana...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nawewe una kwenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Vipi maelfu ya albino mnaowachinja kila mwaka na kula nyama zao...
Lete ushahidi Wa kila mwaka Wa hao albino waliochinjwa na takwimu zao..
Matukio ya kimhemko yaliyokwisha dhibitiwa wewe unayaimba daily hamnazo kabisa weye!!!
 
Matukio yalopita na wakati ndio kutwa kuchwa unakaa kuyaimba ulikuwa unafaidika na hayo mauaji na sasa hayapo umemiss nyama zao sio?
Lete takwimu recent za huo upuuzi unaoukomalia daily Wa matukio ya miaka kumi na zaidi ilopita punguwani weye!
Nitaishi juu ya mti. Nijenge kiota kama nyuni nikae huko ila kuishi katika nchi ambayo watoto na walemavu wa ngozi wanachinjwa kila uchao. NO! Nimekataa katakata Superleta
 
Bwahahahaaa...delamare basi ana utajiri gani...matajiri ni km akina rostam aziz..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weee unatoka Kenya ipi?
Kwani humfahamu familia Dalamare, Lord?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…