kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kenya ni taifa ambalo halijawahi kuupata Uhuru wake hata kidogo. Hata Mzee Jaramongi Odinga alipoandika kitabu chake cha "Not yet Uhuru" alimaanisha lakini walimpiuza.
Wakenya ni wakimbizi kwenye taifa Leo, wanazalisha kwa manufaa ya wakoloni. Wakenya ni manamba kwenye nchi za wakoloni na wanalipa Kodi huko na kuzeekea huko.
Wakenya. Waliobaki Kenya wengi wao hawana cha kupoteza; hawana ardhi, nyumba Wala mifugo (properties), hivyo hawaogopi kupoteza chochote.
Wakoloni wamekota mizizi yao Kenya kisiasa, kiuchumi na kijeshi kuhakikisha kuwa maslahi yao Yako salama milele.
Kenya ni miongoni mwa mataifa ya Afrika yanayoihujumu OAU (AU) kwenye mpango yake ya kujiimarisha kama bara linalojitegemea.
Migomo Kenya ni harakati za ukombizi kutoka kwa wakoloni.
Wakenya ni wakimbizi kwenye taifa Leo, wanazalisha kwa manufaa ya wakoloni. Wakenya ni manamba kwenye nchi za wakoloni na wanalipa Kodi huko na kuzeekea huko.
Wakenya. Waliobaki Kenya wengi wao hawana cha kupoteza; hawana ardhi, nyumba Wala mifugo (properties), hivyo hawaogopi kupoteza chochote.
Wakoloni wamekota mizizi yao Kenya kisiasa, kiuchumi na kijeshi kuhakikisha kuwa maslahi yao Yako salama milele.
Kenya ni miongoni mwa mataifa ya Afrika yanayoihujumu OAU (AU) kwenye mpango yake ya kujiimarisha kama bara linalojitegemea.
Migomo Kenya ni harakati za ukombizi kutoka kwa wakoloni.