Sikumbuki na wala sitakiwi kubisha kuwa Kenya walienda kivyao.
Je, baada ya Kenya kufika huko hawakujumuishwa ndani ya AMISOM?
Nashauri, tuwe tunajaribu kufanya utafiti.
Mimi nimezitaja nchi zinazochangia vikosi baada ya kupitia kwenye tovuti ya AMISOM, na Kenya imo. Sasa naona nimedanganywa. Au hii tovuti haiko updated.
Pitia tovuti hii ya AMISOM;
AMISOM
Chini kabisa utaona vikosi, naambatanisha na screenshot;
View attachment 1000041
Sent using
Jamii Forums mobile app