Kenya Ni Vema Mkaondoa Vikosi Somalia

Huu ndiyo ugomvi mkubwa kati ya Kenya na Somalia...


Somalia wanataka kenya iondoe majeshi yake ndani ya nchi yao... ni sawa na kuwaambia "Mind your own business"


Cc: mahondaw
 
Kenya wapo lakini ugomvi wao mkubwa na al Shabab ni kule kwenda kivita. Hawa AMISOM ni tofauti na Jeshi la Kenya lilipoenda kule. Ndiyo maana katika video yao wamesema Kenya wameingia vita wasiyoijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…