Kenya ,Nigeria na Gambia ndio nchi zinazojitolea misaada zaidi duniani

Kenya ,Nigeria na Gambia ndio nchi zinazojitolea misaada zaidi duniani

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
World giving index imeiorodhesha Kenya kama mojawapo ya nchi inayojitolea zaidi kusaidia nchi zenye uhitaji lakini sio nchi TU hata watu wake wameorodheshwa kama watu wanaojitolea zaidi kusaidia wengine
Pamoja na vita ndogo ndogo za siblings kati ya tz na Kenya ila nakubaliana na utafiti huu
Source Al Jazeera
 
Back
Top Bottom