Kenya number tano kwa kuuziwa bidhaa na Tanzania

Hahaha sasa hizi pumba za mitandaoni ndio unalinganisha na facts zangu za BOT hizo hata source hazina they are guessing huenda labda, linganisha tu hizo nchi nyingine utaona hizo pumba zako hazina credibility zozote to challenge my valid confidential statistics.
 
Hahaha wewe ndio umeleta Kali ya kilabu mwenzako kalokoteza data uchwara kwamba mnatuuzia 320 $ million wewe unasema 1.3 $ billion Hahaha kweli hii wanzuki mnayoibugia itakuja kuwafanya kitu mbaya.

Punguza mataputapu
 
Hahaha wewe ndio umeleta Kali ya kilabu mwenzako kalokoteza data uchwara kwamba mnatuuzia 320 $ million wewe unasema 1.3 $ billion Hahaha kweli hii wanzuki mnayoibugia itakuja kuwafanya kitu mbaya.

Punguza mataputapu
nadhani msumari umechoma mahala pema..🙂😀😀.pole ndugu..;-).nashuku umeumia...pengine next time utakuja na data zilizo na uzito na sio ujinga uliofululiza pale juu in the name of kuidhalilisha Kenya....
 
nadhani msumari umechoma mahala pema..🙂😀😀.pole ndugu..;-).nashuku umeumia...pengine next time utakuja na data zilizo na uzito na sio ujinga uliofululiza pale juu in the name of kuidhalilisha Kenya....
Number does not lie.

"Figures from the Kenya National Bureau of Statistics show that in the first five months of the year, exports from Nairobi to Tanzania dropped by 34 per cent. Exports to Tanzania dropped to $77.6 million from $118.8 million in the same period last year."
Tanzania: No Change Expected in Nairobi Trade With Dar

If you sell to Tanzania business not worth than $118.8 in the half of the year, it is certainly your annual business to Tanzania is not more than than $200 million.

So go fix yourself how poorly it will look like while we drop it down to $77 million this very year.
 
Kenyans after seeing the real thing from Kenyan Bureau of Statistics
 
I sometimes wonder. Ikiwa we sell more to Zambia, Rwanda and DRC than they do, yet hao ndio wana border nao, how will they expect to outsell us on a direct trade between Kenya and Tanzania
Hahaha what do you have to say about your steep fall down to cheap $77 million at this first half of the year to Tanzanian exports as Kenyan Bureau of Statistics states?

Probably your annum exports won't even mark $ 120 million I can guarantee that
 
Usikariri kila kitu, kama bidhaa za Kenya zipo hapa Tanzania basi juwa fika ziko vijijini near the border ya TZ na Kenya ila si Tanzania yote. Sijawahi kuona bidhaa yoyote ya Kenya hapa DSM wala baadhi ya mikoa ya TZ.
Zipo pipi kifuw
 
Hivi sisi tunashindana na Kenya au na Dunia??? I hate this crazy competition with Kenya
Hii ni kenyan forum, ukitaka habari za tz na dunia nenda international forum au habari na hoja mchanganyiko
 
Kuoga ni suala la hiari ila chakula ni suala la lazima. Kama nyie mnajisifu kwa kuuza sabuni tz, sisi tunaongoza kwa kuwauzia chakula ili msife. Tofauti na hapo nchi yenu watu wangekuwa wamekufa wengi.

Hizo sabuni mlizouza hpo kabla tungeweza kukataa kuzinununua na bado tukaishi. Umesahau yule mwarabu alikataa kuoga kwa takriban miaka 12 na hakuwa na tatizo lolote?

https://www.google.com/url?sa=t&sou...hD5UQFgglMAA&usg=AOvVaw0mnmAoPZmmVrWpoLilMB9d
 


Easy guys! Did you by chance bother to check on the growth rates of these two countries? Tz's growth rate is at 124% while that of kenya stands at 50%.

This implies that Kenya's export rate to tz is drastically decreasing, while that of tz is increasing.

Ni suala mda tu, kwa sera hii ya viwanda mtaona maajabu.
 
Nimewapa dose wametawanyika kama chawa na ma statistics yao ya uongo.

Saivi wanaufuatilia huu uzi kwa style hii
 
pole, wakenya wanaangazia Ethiopia kwa sasa....market kubwa zaidi na uchumi mkubwa zaidi kuliko huo wenu...
 
pole, wakenya wanaangazia Ethiopia kwa sasa....market kubwa zaidi na uchumi mkubwa zaidi kuliko huo wenu...
Ha ha haaa, hoja imewashinda sasa mnaanza kutapa tapa eti mnaangazian Ethiopia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .


Mngekuwa mnaangalia uchumi mkubwa mngeshaaacha kupeleka mizigo DRC.
 
pole, wakenya wanaangazia Ethiopia kwa sasa....market kubwa zaidi na uchumi mkubwa zaidi kuliko huo wenu...
Hahaha we si ulisema Tanzania mnauza billion 1.3 huko Ethiopia mnauza kiasi gani?
 
you prefer chinese candy. kuleni tu plastic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…